Kipindupindu chaendelea kuua D’Salaam
dadi ya watu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa kipindupindu imeongezeka na kufikia 17 baada ya watu wengine wawili kupoteza maisha jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboKIPINDUPINDU CHAENDELEA KUTESA JIJINI DAR ES SALAAM
Muuguzi Msaidi wa Zahanati ya Mburahati, Maimuna Pazi (kushoto) na Mlinzi wa Zahanati hiyo, Abdallah...
9 years ago
Dewji Blog19 Aug
Kipindupindu chaendelea kutesa jijini Dar
Muuguzi Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Nusura Kessy (kushoto), akiwaelekeza wauguzi wa saidizi wake namna ya kuchanganya dawa maalumu ya kuondoa vijiji vinavyoweza kuwa vya ugonjwa wa kipindupindu katika kambi ya wagonjwa walioathiriwa na ugonjwa huo iliyopo Zahanati ya Mburahati Dar es Salaam leo asubuhi. Katika kambi hiyo kuna wagonjwa 21 kati yao watoto ni 7.
Vyombo vikiwekwa kwenye dawa.
Muuguzi Msaidi wa Zahanati ya Mburahati, Maimuna Pazi (kushoto) na Mlinzi wa Zahanati hiyo,...
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Kipindupindu chazidi kuua Sengerema
9 years ago
GPLSHULE TANO ZA MKOANI MWANZA ZAFUNGWA BAADA YA KIPINDUPINDU KUUA WANANE
9 years ago
Habarileo06 Nov
Kipindupindu chaitesa Dar es Salaam
UGONJWA wa kipindupindu bado unasumbua mkoa wa Dar es Salaam ambapo hadi sasa tayari watu 40 wamepoteza maisha huku wakiibuka wagonjwa wapya kila siku katika hospitali zilizopo jijini humo.
9 years ago
Mwananchi30 Sep
Kipindupindu chaua 36 Dar es Salaam
9 years ago
GPL20 Aug
9 years ago
MichuziMAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...
10 years ago
GPLKIKAO CHA KAMATI KUU CCM CHAENDELEA MJINI DODOMA