Kipindupindu chaitesa Dar es Salaam
UGONJWA wa kipindupindu bado unasumbua mkoa wa Dar es Salaam ambapo hadi sasa tayari watu 40 wamepoteza maisha huku wakiibuka wagonjwa wapya kila siku katika hospitali zilizopo jijini humo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Sep
Kipindupindu chaua 36 Dar es Salaam
Watu 36 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa kipindupindu katika Jiji la Dar es Salaam tangu Agosti 15.
9 years ago
VijimamboKIPINDUPINDU CHAENDELEA KUTESA JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
GPL20 Aug
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Kipindupindu chaendelea kuua D’Salaam
dadi ya watu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa kipindupindu imeongezeka na kufikia 17 baada ya watu wengine wawili kupoteza maisha jana.
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-bZnR9tmZ_rw/VA4W9K5DchI/AAAAAAAGiJk/QVCC2doAHvs/s1600/unnamed%2B%2813%29.jpg?width=650)
KIVUKO KIPYA (MV DAR ES SALAAM) KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI (DAR ES SALAAM NA BAGAMOYO) CHAKAMILIKA
PICHANI JUU: Taswira mbalimbali zikionyesha Kivuko cha MV.Dar es Salaam kikiwa kimeshushwa majini jana tayari kwa kuanza safari ya kuja Tanzania kutokea nchini…
10 years ago
GPL08 May
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Kipigo chaitesa Simba
Kipigo cha mabao 2-1 ilichokipata Simba juzi dhidi ya Mbeya City kwenye mchezo wa Ligi Kuu, kimeichanganya klabu hiyo na kuacha kila mmoja akisema lake.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SvKI_8oz9dY/VK7_6kEykrI/AAAAAAAG8Hw/RBaqxu0QCFk/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
klabu za michezo za maveterani Dar es salaam kurehemu marehemu Jumatatu (Mapinduzi Day) Leaders club, Kinondoni, jijini Dar es salaam
Umoja wa klabu za michezo za maveterani Dar es salaam, chini ya uratibu wa klabu za Singasinga na Tazara, unatangaza rasmi kwamba shughuli ya kurehemu wanachama wenzetu ambao wametangulia mbele ya haki itafanyika JUMATATU 12/1/2015, ikiwa pia ni sehemu ya kuadhimisha sikukuu ya Mapinduzi.
Ratiba itaanza Saa 7 mchana katika viwanja vya Leaders club jijini Dar es salaam. Dua zitafanyika kutoka kwa Father Oscar na Sheikh Kipoozeo. Dua hizo zitafuatiwa na Chakula cha pamoja cha mchana...
Ratiba itaanza Saa 7 mchana katika viwanja vya Leaders club jijini Dar es salaam. Dua zitafanyika kutoka kwa Father Oscar na Sheikh Kipoozeo. Dua hizo zitafuatiwa na Chakula cha pamoja cha mchana...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania