SHULE TANO ZA MKOANI MWANZA ZAFUNGWA BAADA YA KIPINDUPINDU KUUA WANANE
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/mwanza_town.jpg?width=650)
MLIPUKO wa ugonjwa wa kipindupindu umeshika kasi sasa mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Morogoro, Singida na Mwanza baada ya kusababisha vifo vya watu kadhaa na wengine wengi kulazwa mahospitalini tangu ugonjwa huo uanze kusambaa kwa kasi nchini mwanzoni mwa Agosti. Bakteria aina ya vibrio chorelae ambao husababisha ugonjwa wa kipindupindu Hali inazidi kuwa mbaya katika maeneo mbalimbali nchini kutokana na mlipuko wa kipindupindu,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo11 Nov
Kipindupindu chakumba wanane kila siku
KASI ya ugonjwa wa kipindupindu katika Manispaa ya Dodoma inazidi ambapo mpaka sasa kuna wastani wa wagonjwa wapya wanane kila siku ambapo mpaka sasa jumla ya wagonjwa waliolazwa ni 48.
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Kipindupindu chazidi kuua Sengerema
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Kipindupindu chaendelea kuua D’Salaam
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Meningitis; Shule zafungwa Niger
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_gAPXjhJVeI/Uvkq36XRJ0I/AAAAAAAFMO0/7U2sWMBh1EA/s72-c/unnamed+(43).jpg)
Katibu Mkuu Elimu afungua Mafunzo Kazini kwa Walimu, atembelea shule na vyuo mkoani Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-_gAPXjhJVeI/Uvkq36XRJ0I/AAAAAAAFMO0/7U2sWMBh1EA/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wFV_ymyNtNU/Uvkq6V321MI/AAAAAAAFMPY/mmjgM0owzyg/s1600/unnamed+(44).jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
WANAFUNZI WENYE ALBINISM: Wakatisha masomo baada ya shule yao kukosa chakula Mkoani Singida!
Katibu Mkuu wa chama cha Albino Tanzania (TAS) Ziada Nsembo akizungumza kwenye semina ya uhabarisho juu ya majukumu ya waandishi wa habari kuibua na kuandika habari zinazohusu watu wenya ulemavu wa aina mbalimbali.
Na Nathaniel Limu
[SINGIDA] Jumla ya wanafunzi 37 wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wa shule ya msingi mchanganyiko Izenga wilaya ya Iramba mkoani Singida,wamelazimika kukatisha masomo yao kwa muda usiojulikana kutokana na shule hiyo kukosa chakula. Imedaiwa wanafunzi hao wa...
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Shule 700 zafungwa Korea Kusini
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Shule zafungwa Kenya kutokana na mgomo