Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kipindupindu chakumba wanane kila siku

KASI ya ugonjwa wa kipindupindu katika Manispaa ya Dodoma inazidi ambapo mpaka sasa kuna wastani wa wagonjwa wapya wanane kila siku ambapo mpaka sasa jumla ya wagonjwa waliolazwa ni 48.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

SHULE TANO ZA MKOANI MWANZA ZAFUNGWA BAADA YA KIPINDUPINDU KUUA WANANE

MLIPUKO wa ugonjwa wa kipindupindu umeshika kasi sasa mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Morogoro, Singida na Mwanza baada ya kusababisha vifo vya watu kadhaa na wengine wengi kulazwa mahospitalini tangu ugonjwa huo uanze kusambaa kwa kasi nchini mwanzoni mwa Agosti. Bakteria aina ya vibrio chorelae ambao husababisha ugonjwa wa kipindupindu Hali inazidi kuwa mbaya katika maeneo mbalimbali nchini kutokana na mlipuko wa kipindupindu,...

 

9 years ago

Habarileo

Taarifa ya kipindupindu sasa kila wiki

SERIKALI imeanzisha utaratibu wa utoaji wa taarifa ya ugonjwa wa kipindipindu kwa wiki kwa nchi nzima, ili kuhabarisha umma wa Watanzania kuhusu mkoa na wilaya inayojitahidi kukabiliana na ugonjwa huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!

Bila kumwogopa Mungu, hatuwezi kupiga hatua kama taifa. Tunaambiwa kwamba kumwogopa Mungu ndiyo mwanzo wa maarifa na mafanikio. Ingawa Taifa letu halina dini, lakini watu wake wote wanamwamini Mwenyezi Mungu

 

10 years ago

Mwananchi

Kutembea kwa dakika 20 kila siku, huongeza siku za kuishi

Kulingana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mtindo wa maisha umebadilika ikiwamo watu wengi kutumia usafiri wa magari hata kwa safari ya umbali mfupi

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu

Na  Raymond Mushumbusi- MAELEZO
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,wajua Balotelli hunyolewa kila siku?

Mshambuliaji wa kilabu ya Liverpool Mario Baloteli hutumia pauni 500 kila wiki kunyoa nywele.

 

11 years ago

Dewji Blog

11 years ago

GPL

MAXIMO KUONGEA KILA SIKU YA IJUMAA

Kocha mkuu wa timu ya Young Africans SC Mbrazil Marcio Maximo. Kocha mkuu wa timu ya Young Africans SC, Mbrazil, Marcio Maximo amesema atakua akiongea na waandishi wa habari kila siku ya Ijumaa asubuhi mara tu baada ya mazoezi katika shule ya sekondari Loyola ili kuwapa nafasi na fursa ya kumuuliza maswali mbalimbali kuhusiana na maandalizi ya kikosi chake msimu ujao.

Akiongea na mtandao rasmi wa klabu ya Young Africans...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani