Kipindupindu chakumba wanane kila siku
KASI ya ugonjwa wa kipindupindu katika Manispaa ya Dodoma inazidi ambapo mpaka sasa kuna wastani wa wagonjwa wapya wanane kila siku ambapo mpaka sasa jumla ya wagonjwa waliolazwa ni 48.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLSHULE TANO ZA MKOANI MWANZA ZAFUNGWA BAADA YA KIPINDUPINDU KUUA WANANE
MLIPUKO wa ugonjwa wa kipindupindu umeshika kasi sasa mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Morogoro, Singida na Mwanza baada ya kusababisha vifo vya watu kadhaa na wengine wengi kulazwa mahospitalini tangu ugonjwa huo uanze kusambaa kwa kasi nchini mwanzoni mwa Agosti. Bakteria aina ya vibrio chorelae ambao husababisha ugonjwa wa kipindupindu Hali inazidi kuwa mbaya katika maeneo mbalimbali nchini kutokana na mlipuko wa kipindupindu,...
9 years ago
Habarileo29 Dec
Taarifa ya kipindupindu sasa kila wiki
SERIKALI imeanzisha utaratibu wa utoaji wa taarifa ya ugonjwa wa kipindipindu kwa wiki kwa nchi nzima, ili kuhabarisha umma wa Watanzania kuhusu mkoa na wilaya inayojitahidi kukabiliana na ugonjwa huo.
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!
Bila kumwogopa Mungu, hatuwezi kupiga hatua kama taifa. Tunaambiwa kwamba kumwogopa Mungu ndiyo mwanzo wa maarifa na mafanikio. Ingawa Taifa letu halina dini, lakini watu wake wote wanamwamini Mwenyezi Mungu
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Kutembea kwa dakika 20 kila siku, huongeza siku za kuishi
Kulingana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mtindo wa maisha umebadilika ikiwamo watu wengi kutumia usafiri wa magari hata kwa safari ya umbali mfupi
9 years ago
MichuziMAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu
Na Raymond Mushumbusi- MAELEZO
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...
10 years ago
Uhuru Newspaper10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Je,wajua Balotelli hunyolewa kila siku?
Mshambuliaji wa kilabu ya Liverpool Mario Baloteli hutumia pauni 500 kila wiki kunyoa nywele.
11 years ago
Dewji Blog12 Jul
11 years ago
GPLMAXIMO KUONGEA KILA SIKU YA IJUMAA
Kocha mkuu wa timu ya Young Africans SC Mbrazil Marcio Maximo. Kocha mkuu wa timu ya Young Africans SC, Mbrazil, Marcio Maximo amesema atakua akiongea na waandishi wa habari kila siku ya Ijumaa asubuhi mara tu baada ya mazoezi katika shule ya sekondari Loyola ili kuwapa nafasi na fursa ya kumuuliza maswali mbalimbali kuhusiana na maandalizi ya kikosi chake msimu ujao.
Akiongea na mtandao rasmi wa klabu ya Young Africans...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania