TPDC, KAMPUNI ZA WENTWORTH, MAUREL & PROM WASAINI MKATABA WA KUUZIANA GESI
![](http://2.bp.blogspot.com/-kvO2fcU9Ows/VBNkeMtXqnI/AAAAAAAGjXo/hyxIpZYLbbs/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (wa nne kushoto) akipeana mkono na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya WENTWORTH inayochimba gesi katika eneo la Mnazi Bay Mkoani Mtwara , Robert MacBean (wa tatu kushoto) mara baada ya kusaini Makubaliano ya Mkataba wa Kuuziana Gesi kati yake na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Wengine katika picha ni baadhi wa Watendaji Wakuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Shirika la maendeleo ya Petroli Tanzania TPDC na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Yahoo Finance03 Apr
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8IbzFBwck/Vh-FXhgJvZI/AAAAAAADA8M/uTm0bVuWqnU/s72-c/IMG-20151015-WA0009.jpg)
TANROADS NA KAMPUNI YA SUMITON MITSUI CONSTRACTION CO. LTD WASAINI MKATABA KWAAJILI YA UJENZI WA BARABARA YA JUU ENEO LA TAZARA LEO JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8IbzFBwck/Vh-FXhgJvZI/AAAAAAADA8M/uTm0bVuWqnU/s640/IMG-20151015-WA0009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F8Zg2_nKNl8/Vh-LtVoQrMI/AAAAAAADA8k/nX0zBE9-wBs/s640/IMG-20151015-WA0015.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Profesa Sospeter Muhongo asaini mkataba wa mradi wa kuuziana umeme kati ya Zambia, Tanzania na Kenya
Mawaziri wanaoshughulikia Nishati kutoka nchi za Zambia, Tanzania na Kenya wakisaini Mkataba wa Makubaliano kuonesha dhamira ya Serikali ya nchi hizo kujenga miundombinu ya pamoja ya kusafirisha umeme na kufanya biashara ya kuuziana umeme wa ziada baina ya nchi hizo.
Na Anitha Jonas, Maelezo-DSM.
WAZIRI wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo jana ametia saini Mkataba wa Mradi kujenga Miundombinu ya kuuziana umeme kati ya Zambia, Tanzania na Kenya (ZTK) katika Mkutano wa Kumi...
9 years ago
Bongo518 Nov
Diamond aingia mkataba na kampuni ya usimamizi na ushauri ya Nigeria, Upfront & Personal
![11313607_1734146243483565_1852611113_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11313607_1734146243483565_1852611113_n-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ameiangia mkataba na kampuni ya usimamizi na ushauri (management consultants) ya Nigeria, Upfront & Personal.
Upfront and Personal ni kampuni kubwa iliyojikita katika masuala ya mahusiano ya umma (public relations), media buying, celebrity endorsement na event management.
“DONE DEAL!!! you know how it is when you see Mr @pauloo2104 dollarmoneybagboomgun Cc @sallam_sk @ubifranklintriplemg #Nigeria,” ameandika Diamond kwenye picha aliyoweka Instagram ikimuonesha akisaini...
10 years ago
GPLNHC, UCHUMI SUPERMARKET WASAINI MKATABA KIBIASHARA
9 years ago
StarTV23 Oct
Tanesco na TIB wasaini mkataba wa dola milioni 140
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesaini mkataba wa dola milioni 140 na Benki ya Uwekezaji Tanzania (TIB) kwa ajili ya ujenzi wa Mradi wa mitambo ya umeme kutoka Somanga Kilwa hadi Kinyerezi Dar es salaam.
Mradi huo utazalisha umeme wa KV400 ambazo zitapunguza tatizo la mgao wa umeme utachukua jumla ya miaka miwili hadi kukamilika kwake .
TANESCO imesema mradi huo utasaidia mpango wa kuongeza umeme katika gridi ya Taifa pamoja na kuimarisha umeme wa uhakika katika maeneo ya Lindi ,...
11 years ago
Zitto Kabwe, MB06 Jul
Mkataba wa Gesi umevuja: #Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka — #Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu
Mkataba wa Gesi umevuja: Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka
- Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu
Zitto Kabwe, Mb
Mkataba wa mgawanyo wa mapato yanayotokana na uzalishaji wa Gesi Asilia (PSA) kati ya Shirika la Mafuta na Gesi Tanzania na Kampuni ya Mafuta ya Norway umevujishwa (https://onedrive.live.com/view.aspx?cid=0EC42B180C06D0B8&resid=EC42B180C06D0B8%21107&app=WordPdf). Toka Mkataba huo uvuje na kuanza mijadala kwenye mitandao ya kijamii,...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1KVNYKjJ83U/VdxPUqYuZbI/AAAAAAAHz24/ehBBVnXC3rc/s72-c/001.Moneygram.jpg)
VODACOM NA MONEYGRAM WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO WA KUTOA HUDUMA ZA KIFEDHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1KVNYKjJ83U/VdxPUqYuZbI/AAAAAAAHz24/ehBBVnXC3rc/s640/001.Moneygram.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JVQIvRvfsrs/VdxPUnLO0hI/AAAAAAAHz3A/NgbaowVsw-o/s640/003.Moneygram.jpg)
10 years ago
VijimamboMC PILIPILI NA TAASISI YA MEDO WASAINI MKATABA WA KUSAIDIA ELIMU MKOANI MOROGORO