Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NHC, UCHUMI SUPERMARKET WASAINI MKATABA KIBIASHARA

Mkurugenzi Mkuu wa Uchumi Supermarket, Dk. Jonathan Ciano akiongea jambo wakati wa makubaliano hayo na NHC. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu wakati wa makubaliano hayo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

NHC na DSE waingia mkataba wa makubaliano ya bilioni 3.366 ya kitega uchumi cha Morocco Square

hc1

Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu (kushoto), akibadilishana hati za mkataba na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE), Moremi Marwa wakitiliana saini makubaliano rasmi ya mauzo ya sehemu ya eneo la ofisi katika mradi wa kipekee mpya wa Morocco Square, Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Ujenzi wa mradi huo wenye huduma mbalimbali za kisasa unaendelea. (Picha kwa Hisani ya Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma na Huduma kwa Jamii).

hc2

Mkurugenzi wa Shirika...

 

11 years ago

TheCitizen

Uchumi Supermarket: This is our story

Nakumatt, your major competitor in the region is in Dar es Salaam. Are you threatened by the coming of the retail chain? What tactics will you employ to be ahead of the competition?

 

9 years ago

Mwananchi

Wafanyakazi Uchumi Supermarket wagoma

Wafanyakazi zaidi ya 400 wa Uchumi Super Market jijini hapa jana, waligoma kufanya kazi wakitaka kujua hatima ya mishahara na ajira zao baada ya kusikia tetesi kuwa itafungwa.

 

10 years ago

TheCitizen

Uchumi acquires Dar’s Sifamart Supermarket

>Uchumi supermarket has acquired a store in Tanzania as part of its aggressive expansion plan in that market. Chief executive Jonathan Ciano said the acquisition of the outlet from Dar es Salaam-based Sifamart Supermarkets was concluded last week in a deal financed by debt.

 

9 years ago

Mwananchi

Maduka ya Uchumi Supermarket yafungwa Tanzania, Uganda

Uongozi wa Uchumi Supermarket umetangaza  kufunga shughuli zake katika maduka yake yaliyopo Tanzania na Uganda ili kutoa nafasi ya kuzuia mtikisiko wa kifedha unaoikumba kampuni hiyo.

 

9 years ago

Vijimambo

MADUKA YA UCHUMI SUPERMARKET YAFUNGWA NCHINI TANZANIA NA UGANDA



Uongozi wa Uchumi Supermarket umetangaza kufunga shughuli zake katika maduka yake yaliyopo Tanzania na Uganda ili kutoa nafasi ya kuzuia mtikisiko wa kifedha unaoikumba kampuni hiyo.Ofisa Mtendaji Mkuu wa Uchumi, Dk Julius Kipng'etich, amesema Bodi imeamua kufunga vitengo vya kikanda ili kuimarisha shughuli zake nchini Kenya baada ya kupata hasara katika maduka yake ya Uganda na Tanzania."Maduka yetu ya Uganda na Tanzania huchangia asilimia 25 tu ya gharama za uendeshaji. Matawi hayo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchumi wasaini makubaliano na AMREF

DUKA la kujihudumia la Uchumi limeingia katika makubaliano maalumu na Mfuko wa Matibabu na Utafiti wa Kiafrika (AMREF) ili kuhakikisha michango yake inakuwa na matokeo makubwa kwa walengwa. Meneja wa...

 

9 years ago

StarTV

Tanesco na TIB wasaini mkataba wa dola milioni 140

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesaini mkataba wa dola milioni 140 na Benki ya Uwekezaji Tanzania (TIB) kwa ajili ya ujenzi wa Mradi wa mitambo ya umeme kutoka Somanga Kilwa hadi Kinyerezi Dar es salaam.

Mradi huo utazalisha umeme wa KV400 ambazo zitapunguza tatizo la mgao wa umeme utachukua jumla ya miaka miwili hadi kukamilika kwake .

 TANESCO imesema mradi huo utasaidia mpango wa kuongeza umeme katika gridi ya Taifa pamoja na kuimarisha umeme wa uhakika katika maeneo ya Lindi ,...

 

9 years ago

Michuzi

VODACOM NA MONEYGRAM WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO WA KUTOA HUDUMA ZA KIFEDHA

 Ofisa Mkuu wa Idara ya huduma za biashara za M-Pesa wa Vodacom Tanzania,Jacques Voogt akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa hafla ya Uzinduzi  wa makubaliano ya ushirikiano wa kutoa huduma ya kutuma na kupokea fedha kwa njia ya M-pesa na Moneygram (Moneygram M-Pesa)ambayo itawanufaisha wateja wanaoishi Nje ya nchi kutuma fedha na kuingia moja kwa moja kwa jamaa zao waliopo nchini.Uzinduzi huo ulifanyika jijini leo Dar es Salaam.003.Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani