NHC, UCHUMI SUPERMARKET WASAINI MKATABA KIBIASHARA
Mkurugenzi Mkuu wa Uchumi Supermarket, Dk. Jonathan Ciano akiongea jambo wakati wa makubaliano hayo na NHC. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu wakati wa makubaliano hayo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
NHC na DSE waingia mkataba wa makubaliano ya bilioni 3.366 ya kitega uchumi cha Morocco Square
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu (kushoto), akibadilishana hati za mkataba na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE), Moremi Marwa wakitiliana saini makubaliano rasmi ya mauzo ya sehemu ya eneo la ofisi katika mradi wa kipekee mpya wa Morocco Square, Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Ujenzi wa mradi huo wenye huduma mbalimbali za kisasa unaendelea. (Picha kwa Hisani ya Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma na Huduma kwa Jamii).
Mkurugenzi wa Shirika...
11 years ago
TheCitizen07 Aug
Uchumi Supermarket: This is our story
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Wafanyakazi Uchumi Supermarket wagoma
10 years ago
TheCitizen05 Nov
Uchumi acquires Dar’s Sifamart Supermarket
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Maduka ya Uchumi Supermarket yafungwa Tanzania, Uganda
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jBeiKcj1u2Y/Vh561LfAHMI/AAAAAAABXTs/aRws1LDfuUg/s72-c/front%2Bsegerea.jpg)
MADUKA YA UCHUMI SUPERMARKET YAFUNGWA NCHINI TANZANIA NA UGANDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-jBeiKcj1u2Y/Vh561LfAHMI/AAAAAAABXTs/aRws1LDfuUg/s640/front%2Bsegerea.jpg)
Uongozi wa Uchumi Supermarket umetangaza kufunga shughuli zake katika maduka yake yaliyopo Tanzania na Uganda ili kutoa nafasi ya kuzuia mtikisiko wa kifedha unaoikumba kampuni hiyo.Ofisa Mtendaji Mkuu wa Uchumi, Dk Julius Kipng'etich, amesema Bodi imeamua kufunga vitengo vya kikanda ili kuimarisha shughuli zake nchini Kenya baada ya kupata hasara katika maduka yake ya Uganda na Tanzania."Maduka yetu ya Uganda na Tanzania huchangia asilimia 25 tu ya gharama za uendeshaji. Matawi hayo...
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Uchumi wasaini makubaliano na AMREF
DUKA la kujihudumia la Uchumi limeingia katika makubaliano maalumu na Mfuko wa Matibabu na Utafiti wa Kiafrika (AMREF) ili kuhakikisha michango yake inakuwa na matokeo makubwa kwa walengwa. Meneja wa...
9 years ago
StarTV23 Oct
Tanesco na TIB wasaini mkataba wa dola milioni 140
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesaini mkataba wa dola milioni 140 na Benki ya Uwekezaji Tanzania (TIB) kwa ajili ya ujenzi wa Mradi wa mitambo ya umeme kutoka Somanga Kilwa hadi Kinyerezi Dar es salaam.
Mradi huo utazalisha umeme wa KV400 ambazo zitapunguza tatizo la mgao wa umeme utachukua jumla ya miaka miwili hadi kukamilika kwake .
TANESCO imesema mradi huo utasaidia mpango wa kuongeza umeme katika gridi ya Taifa pamoja na kuimarisha umeme wa uhakika katika maeneo ya Lindi ,...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1KVNYKjJ83U/VdxPUqYuZbI/AAAAAAAHz24/ehBBVnXC3rc/s72-c/001.Moneygram.jpg)
VODACOM NA MONEYGRAM WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO WA KUTOA HUDUMA ZA KIFEDHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1KVNYKjJ83U/VdxPUqYuZbI/AAAAAAAHz24/ehBBVnXC3rc/s640/001.Moneygram.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JVQIvRvfsrs/VdxPUnLO0hI/AAAAAAAHz3A/NgbaowVsw-o/s640/003.Moneygram.jpg)