NHC na DSE waingia mkataba wa makubaliano ya bilioni 3.366 ya kitega uchumi cha Morocco Square
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu (kushoto), akibadilishana hati za mkataba na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE), Moremi Marwa wakitiliana saini makubaliano rasmi ya mauzo ya sehemu ya eneo la ofisi katika mradi wa kipekee mpya wa Morocco Square, Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Ujenzi wa mradi huo wenye huduma mbalimbali za kisasa unaendelea. (Picha kwa Hisani ya Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma na Huduma kwa Jamii).
Mkurugenzi wa Shirika...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper22 Apr
NHC sasa waingia mkataba na DSE
NA MOHAMMED ISSA
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limeingia mkataba na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) wa mauzo ya sehemu ya eneo la ofisi katika mradi wake wa Morocco Square ulioko Kinondoni, Dar es Salaam.
Mkataba huo ulitiwa saini jana na Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu na Mkurugenzi Mtendaji wa DSE, Moremi Marwa.
Akizungumza katika hafla ya utiaji saini makubaliano hayo, Mchechu alisema mkataba huo utagharimu sh. bilioni 3.3 na kwamba malipo yatafanyika kwa awamu nne katika...
10 years ago
Michuzi22 Apr
NHC) NA SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM ZATILIANA SAINI MKATABA WA MANUNUZI YA ENEO LA OFISI JENGO LA MOROCCO SQUARE
![hc1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/hc1.jpg)
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu (kushoto), akibadilishana hati za mkataba na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE), Moremi Marwa wakitiliana saini makubaliano rasmi ya mauzo ya sehemu ya eneo la ofisi katika mradi wa kipekee mpya wa Morocco Square, Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Ujenzi wa mradi huo wenye huduma mbalimbali za kisasa unaendelea. (Picha kwa Hisani ya Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma na Huduma kwa Jamii)
![hc2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/hc2.jpg)
9 years ago
MichuziNHC YAZINDUA UUZAJI WA NYUMBA ZA BIASHARA NA MAKAZI ZA MOROCCO SQUARE,WAZIRI KIRUKI AIPONGEZA NHC KWA UFANISI
Waziri Kairuki aliyasema hayo juzi jijini Dar es Salaam alipokuwa akizindua mauzo ya nyumba za biashara na makazi zilizojengwa eneo la Morocco Square, Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Aliwapongeza Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu na wenzake kwa kazi nzuri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jV7SJaMYEYE/XoBUC3mgJ3I/AAAAAAALlcg/GroQ9aR7Ww8YCbm-RVPjblRdOn4oXcmlgCLcBGAsYHQ/s72-c/NHC-4-768x512.jpg)
NHC YATAKIWA KUKAMILISHA UJENZI JENGO LA KITEGA UCHUMI MUTUKULA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jV7SJaMYEYE/XoBUC3mgJ3I/AAAAAAALlcg/GroQ9aR7Ww8YCbm-RVPjblRdOn4oXcmlgCLcBGAsYHQ/s640/NHC-4-768x512.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QGnZW9a_dA0/XoBTmlg4hZI/AAAAAAALlcY/9QT58VHOaHA4p5MxWoRS7L0fFQKiZPSCwCLcBGAsYHQ/s640/NHC-1.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akiwasili katika Jengo la Kitega Uchumi la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) lilipo mpakani mwa Tanzania na Uganda eneo la Mutukula wilaya ya Misenyi mkoa wa Kagera kwa...
9 years ago
Mwananchi31 Aug
NHC, benki waingia mkataba kusaidia wateja
10 years ago
Vijimambo22 Apr
UTIAJI SAINI MANUNUZI YA ENEO LA OFISI KWENYE JENGO LA MOROCCO SQUARE KATI YA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) NA SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM
![hc1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/hc1.jpg)
![hc2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/hc2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/hc1.jpg)
UTIAJI SAINI MANUNUZI YA ENEO LA OFISI KWENYE JENGO LA MOROCCO SQUARE KATI YA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) NA SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM
10 years ago
GPLNHC, UCHUMI SUPERMARKET WASAINI MKATABA KIBIASHARA
10 years ago
Vijimambo22 Jan
UTIAJI SAINI MKATABA WA MAKUBALIANO YA KUKIUNGANISHA CHAMA CHA SPLM CHA SUDAN KUSINI JIJINI ARUSHA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-wWcLkGh8qCs%2FVMElE0BZ4kI%2FAAAAAAAArWQ%2FacOaNzdf1IM%2Fs1600%2Fsp%252B(1).jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)