NHC sasa waingia mkataba na DSE
NA MOHAMMED ISSA
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limeingia mkataba na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) wa mauzo ya sehemu ya eneo la ofisi katika mradi wake wa Morocco Square ulioko Kinondoni, Dar es Salaam.
Mkataba huo ulitiwa saini jana na Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu na Mkurugenzi Mtendaji wa DSE, Moremi Marwa.
Akizungumza katika hafla ya utiaji saini makubaliano hayo, Mchechu alisema mkataba huo utagharimu sh. bilioni 3.3 na kwamba malipo yatafanyika kwa awamu nne katika...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
NHC na DSE waingia mkataba wa makubaliano ya bilioni 3.366 ya kitega uchumi cha Morocco Square
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu (kushoto), akibadilishana hati za mkataba na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE), Moremi Marwa wakitiliana saini makubaliano rasmi ya mauzo ya sehemu ya eneo la ofisi katika mradi wa kipekee mpya wa Morocco Square, Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Ujenzi wa mradi huo wenye huduma mbalimbali za kisasa unaendelea. (Picha kwa Hisani ya Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma na Huduma kwa Jamii).
Mkurugenzi wa Shirika...
9 years ago
Mwananchi31 Aug
NHC, benki waingia mkataba kusaidia wateja
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f_GbUC0xJQI/VMePOIgw93I/AAAAAAAG_wM/eYIM4Aygs5Q/s72-c/IMG_6295.jpg)
TTCL na Huawei waingia mkataba wa kuboresha mawasiliano nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-f_GbUC0xJQI/VMePOIgw93I/AAAAAAAG_wM/eYIM4Aygs5Q/s1600/IMG_6295.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F81lquJVHtE/VMePOT6D9yI/AAAAAAAG_wY/aW9QguhZNaQ/s1600/IMG_6301.jpg)
10 years ago
GPLNHC, UCHUMI SUPERMARKET WASAINI MKATABA KIBIASHARA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Zu6WODWXrQI/U5cwreJ8fJI/AAAAAAAFpks/VK1vm8UBDJo/s72-c/unnamed2.jpg)
NHC yasaini mkataba na Halmashauri ya Wilaya Mpya ya Busokela iliyopo Mkoani Mbeya
Mhe.Prof Marck Mwandosya,Waziri, ambaye Wilaya hiyo Mpya iko katika Jimbo lake la Rungwe MasharikiMawaziri mwingine aliyehudhuria...
10 years ago
Michuzi22 Apr
NHC) NA SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM ZATILIANA SAINI MKATABA WA MANUNUZI YA ENEO LA OFISI JENGO LA MOROCCO SQUARE
![hc1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/hc1.jpg)
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu (kushoto), akibadilishana hati za mkataba na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE), Moremi Marwa wakitiliana saini makubaliano rasmi ya mauzo ya sehemu ya eneo la ofisi katika mradi wa kipekee mpya wa Morocco Square, Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Ujenzi wa mradi huo wenye huduma mbalimbali za kisasa unaendelea. (Picha kwa Hisani ya Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma na Huduma kwa Jamii)
![hc2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/hc2.jpg)
10 years ago
Mwananchi02 Nov
NHC sasa kujenga miji ya kisasa Dar es salaam
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-J1KuMNZ4gd8/U5dwf2_IUWI/AAAAAAAFpo0/wfMo_dYntrM/s72-c/unnamed+(57).jpg)
Shirika la Nyumba NHC leo limesaini mkataba wa ujenzi wa nyumba 5,000 na Halmashauri ya Wilaya Mpya ya Busokelo
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oYC2ZJwDNBI/VAyMc79F7aI/AAAAAAAGhJs/sN79hbNTLK0/s72-c/IMG_2212.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZ: MKATABA WA YANGA, OKWI HAUPO NA SASA YUPO HURU KUCHEZEA TIMU YOYOTE AITAKAYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-oYC2ZJwDNBI/VAyMc79F7aI/AAAAAAAGhJs/sN79hbNTLK0/s1600/IMG_2212.jpg)