NHC, benki waingia mkataba kusaidia wateja
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), limeingia mkataba wa makubaliano na benki nyingine nne ili kuwawezesha wateja wake wanaotaka kununua nyumba za shirika hilo kupata mikopo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper22 Apr
NHC sasa waingia mkataba na DSE
NA MOHAMMED ISSA
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limeingia mkataba na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) wa mauzo ya sehemu ya eneo la ofisi katika mradi wake wa Morocco Square ulioko Kinondoni, Dar es Salaam.
Mkataba huo ulitiwa saini jana na Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu na Mkurugenzi Mtendaji wa DSE, Moremi Marwa.
Akizungumza katika hafla ya utiaji saini makubaliano hayo, Mchechu alisema mkataba huo utagharimu sh. bilioni 3.3 na kwamba malipo yatafanyika kwa awamu nne katika...
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
NHC na DSE waingia mkataba wa makubaliano ya bilioni 3.366 ya kitega uchumi cha Morocco Square
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu (kushoto), akibadilishana hati za mkataba na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE), Moremi Marwa wakitiliana saini makubaliano rasmi ya mauzo ya sehemu ya eneo la ofisi katika mradi wa kipekee mpya wa Morocco Square, Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Ujenzi wa mradi huo wenye huduma mbalimbali za kisasa unaendelea. (Picha kwa Hisani ya Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma na Huduma kwa Jamii).
Mkurugenzi wa Shirika...
10 years ago
Michuzi
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania akutana na wateja wa benki hiyo jijini Mwanza


10 years ago
Michuzi
BENKI YA WATU WA ZANZIBAR (PBZ) YAFUTARISHA WANA FAMILIA WA BENKI HIYO NA WATEJA WAKE





10 years ago
Michuzi
TTCL na Huawei waingia mkataba wa kuboresha mawasiliano nchini


11 years ago
GPLNHC, UCHUMI SUPERMARKET WASAINI MKATABA KIBIASHARA
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Benki ya CRDB yampa tunzo Mohammed Dewji ‘MO’ kwa ushiriki mkubwa wa benki hiyo katika wiki ya huduma kwa wateja
Meneja wa Benki ya CRDB wa tawi la Water Front, Donath Shirima akimpa tunzo pamoja na barua ya kumshukuru Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mohammed Dewji ‘Mo’ kuwa ni mshiriki mkubwa wa benki ya CRDB katika tawi la Water Front wakati wa kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika katika ofisi za MeTL GROUP, jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mo dewji akionyesha barua ya...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Oriflame kusaidia wateja wake ada
KAMPUNI ya Oriflame inayojishughulisha na uuzaji wa bidhaa mbalimbali za urembo, imetangaza kuanza kuwasaidia wateja waliopo kwenye kampuni hiyo kwa kuwalipia ada za shule za watoto wao. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
GPLNHC YAFUNGUA RASMI KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA