Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Oriflame kusaidia wateja wake ada

KAMPUNI ya Oriflame inayojishughulisha na uuzaji wa bidhaa mbalimbali za urembo, imetangaza kuanza kuwasaidia wateja waliopo kwenye kampuni hiyo kwa kuwalipia ada za shule za watoto wao. Akizungumza na waandishi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja

IMG_5019

Wateja wakisikiliza mazungumzo mojakwamoja Baina ya mteja na muhudumu wetu katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter)  IMG_5004 IMG_4911 Mkuu wa idara ya Huduma kwa wateja, Ndugu Zaeem Khan akikabidhi kadi za kipaumbele kwa wateja waliohudhuria hafla hiyo. IMG_5035 Wateja waliopata nafasi ya kutembelea kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) wakipata maelekezo kuhusu huduma za Tigo. picha 02 Picha ya pamoja ya Wafanyakazi  na wateja wa Tigo waliotembelea kituo cha Huduma kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

NHC, benki waingia mkataba kusaidia wateja

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), limeingia mkataba wa makubaliano na benki nyingine nne ili kuwawezesha wateja wake wanaotaka kununua nyumba za shirika hilo kupata mikopo.

 

10 years ago

Michuzi

news alert: bondia floyd mayweather avuliwa mkanda kwa kushindwa kulipa ada ya pambano wake na Manny Pacquiao

 Na Sultani KipingoBingwa wa dunia wa masumbi Floyd Mayweather (kushoto) amevuliwa mkanda wa WBO alioupata baada ya kumshinda Manny (kulia)
Pacquiao mwezi Mei Mwaka huu.Uamuzi huo umekuja baada ya bondia huyo mwenye umri wa miaka 38 kushindwa kuilipa shirikisho la ndondi la WBO ada ya dola laki mbili kabla ya Julai 3, mwaka huu.Hata hivyo Mayweather mwenyewe alitegemewa kuutema mkanda huo, kufuatia ushindi wa pointi dhidi ya Pacquiao. Mmarekami mwenzie Timothy Bradley ndiye ataepewa mkanda...

 

10 years ago

Michuzi

NSSF yaboresha huduma za wateja wake

SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) limeboresha huduma kwa wateja wake kwa kubadilisha muonekano wa ofisi zake za jijini Dar es Salaam ili kupunguza urasimu wa kutoa huduma sanjari na utaratibu wa wateja kubonyeza kitufe maalum kwaajili ya maoni ya huduma zinazotolewa.
Aidha sekta isiyo rasmi na rasmi zimeaswa kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii itakayowawezesha kujikwamua kiuchumi kwani waliojiandikisha kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii ni wachache hali inayopelekea wazee...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

Vodacom yaanzisha "Zogo" kwa Wateja wake

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa,akifafanua jambo wakati akitangaza huduma mpya ya 'Zogo' inayoyawezesha wateja wa mtandao wa Vodacom kupiga simu ndani na nje ya mtandao na kujipatia vifurushi kwa gharama nafuu.Ili kujiunga mteja anatakiwa kupiga *149*01#. Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kwenye uzinduzi wa huduma mpya ya'Zogo' ambayo itawawezesha wateja wa mtandao wa Vodacom kupiga simu ndani na nje ya mtandao na kujipatia vifurushi kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Benki ya CBA yawaandalia Futari wateja wake

DSC_0519

Wa pili Kushoto ni Mweka Hazina Mkuu wa Benki ya CBA Bw. Julius Mcharo akifuatiwa na Mkurugenzi  Mtendaji wa Benki hiyo Bw. Yohane Kaduma na Sekh Salim Mohammed wakiwa kwenye IFTAR ilioandaliwa na benki ya CBA kwa ajili ya kujumuika na wateja wake na wadau mbalimbali wakati huu wa Ramadan, kwenye hotel ya Serana jana, akizungumza kwenye IFTAR hiyo Bw. Kaduma ametoa shukrani yingi kwa wateja wa CBA na kuiasa jamii kwa ujumla kuzingatia haki na amani sio kwenye kipindi hiki tu mwezi mtukufu...

 

11 years ago

Michuzi

Benki ya FNB yakutana na wateja wake wa Tanzania

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya FNB,Dave Aitken akizungumza na wateja wa benki hiyo wakati wa mkutano kati ya wateja na benki hiyo kujadili kuhusiana na mwelekeo wa uchumi wa kimataifa wa hapa nchini. Baadhi ya washiriki wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yakitolewa na mtoa mada katika mjadala huo. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya FNB Dave Aitken (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Nakuroei Investement Company LTD, Engineer Samwel Mollel. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya FNB...

 

11 years ago

Vijimambo

NMB YAWAPA SOMO WATEJA WAKE MBEYA.

Mwenyekiti wa Umoja wa Wateja wa Nmb, Jeremia Mahenge akifungua mkutano wa umoja wa wateja wa NMB katika ukumbi wa RC MwanelwaMeneja Mahusiano wa NMB Makao makuu, Dickson Pangamawe, akiwapa somo wateja wakMtaalamu wa Biashara ya kimataifa wa NMB makao makuu Alatunoze Sanga akitoa somo kwa wateja wa Nmb katika mkutano huoWateja wa NMB Mkoa wa Mbeya wakiwa makini kusikiliza somokwapicha zaidi bofya soma zaidiAfisa mikopo NMB Mbalizi Road HANCESON Kyambi akieleze sasa wanatoa mikopo ya bajaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani