Halmashauri yalalamikiwa
Baadhi ya abiria Mji Mdogo wa Kayanga na wamiliki wa daladala, wamelalamikia uongozi wa Halmashauri ya Karagwe kushindwa kutengeneza miundombinu ya stendi ya wilaya miaka 50 iliyopita tangu wilaya kuanzishwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Sumatra Ruvuma yalalamikiwa
BAADHI ya Wasafirishaji wa abiria mikoani katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Ruvuma, wameilalamikia Mamlaka ya Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (Sumatra), mkoani hapa kwa kufanya upendeleo wa kuibeba kampuni...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Tanesco yalalamikiwa kuhatarisha maisha
WAKAZI wa Kikuyu Maghorofani mkoani Dodoma, wamelilalamikia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Mkoa wa Dodoma kwa kuhatarisha maisha yao kutokana na kuwepo nguzo za umeme zilizooza. Wakazi hao walitoa malalamiko...
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Tambaza Auction Mart yalalamikiwa
DHULUMA na ubabe unaodaiwa kufanywa na wafanyakazi wa Kampuni ya udalali ya Tambaza Auction Mart ya jijini Dar es Salaam, umelalamikiwa na baadhi ya wamiliki wa magari, hususan malori. Baadhi...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Mahakama yalalamikiwa kuvunja ndoa
MAHAKAMA ya Mwanzo Namanyere, wilayani Nkasi, imelalamikiwa kuvunja ndoa iliyokuwa na mgogoro bila kugawanya mali iliyochumwa na wanandoa wakiwa pamoja. Maria Tarafa (25), mkazi wa Kijiji cha Isale ambaye ni...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Operesheni Safisha Jiji yalalamikiwa
WIKI moja baada ya Operesheni Safisha Jiji, baadhi ya wakazi wameomba Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiq kuingilia kati, kuzuia uvunjifu wa sheria wa kubomolewa baadhi...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Kampuni ya Dandho yalalamikiwa kuziba barabara
WAKAZI wa Mtaa wa Usalama, Kata ya Sandali, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, wanailalamikia Kampuni ya Dandho inayosafirisha mizigo na mafuta ndani na nje ya nchi kwa kugeuza eneo...
10 years ago
Habarileo28 Dec
Maziwa kutoka nchi jirani yalalamikiwa
CHAMA cha Wafugaji wa Ng’ombe wa Maziwa (TDCU) kinakusudia kumwandikia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kupinga uingizwaji holela wa maziwa yaliyosindikwa kutoka nchi jirani.
9 years ago
Mwananchi06 Oct
NEC yalalamikiwa utendaji wake kuelekea uchaguzi
10 years ago
StarTV12 Jan
Ujenzi wa kituo cha ushuru Rusumo, TANROADS yalalamikiwa.
Na Mariam Emily,
Rusumo.
Baadhi ya wananchi katika mpaka wa Rusumo wilayani Ngara mkoani Kagera, wamelalamikia wakala wa barabara nchini TANROADS kutokuwa makini katika usimamizi wa ujenzi wa kituo cha ushuru wa forodha katika mpaka huo, ambacho wanadai kimejengwa chini ya kiwango ukilinganisha na kile cha nchi jirani ya Rwanda, ambavyo vyote vimejengwa kwa ufadhili wa serikali ya Japan kwa gharama ya dola za kimarekani milioni thelathini na mbili.
Wananchi hao wametoa malalamiko hayo...