Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Halmashauri yalalamikiwa

Baadhi ya abiria Mji Mdogo wa Kayanga na wamiliki wa daladala, wamelalamikia uongozi wa Halmashauri ya Karagwe kushindwa kutengeneza miundombinu ya stendi ya wilaya miaka 50 iliyopita tangu wilaya kuanzishwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Sumatra Ruvuma yalalamikiwa

BAADHI ya Wasafirishaji wa abiria mikoani katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Ruvuma, wameilalamikia Mamlaka ya Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (Sumatra), mkoani hapa kwa kufanya upendeleo wa kuibeba kampuni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanesco yalalamikiwa kuhatarisha maisha

WAKAZI wa Kikuyu Maghorofani mkoani Dodoma, wamelilalamikia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Mkoa wa Dodoma kwa kuhatarisha maisha yao kutokana na kuwepo nguzo za umeme zilizooza. Wakazi hao walitoa malalamiko...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tambaza Auction Mart yalalamikiwa

DHULUMA na ubabe unaodaiwa kufanywa na wafanyakazi wa Kampuni ya udalali ya Tambaza Auction Mart ya jijini Dar es Salaam, umelalamikiwa na baadhi ya wamiliki wa magari, hususan malori. Baadhi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mahakama yalalamikiwa kuvunja ndoa

MAHAKAMA ya Mwanzo Namanyere, wilayani Nkasi, imelalamikiwa kuvunja ndoa iliyokuwa na mgogoro bila kugawanya mali iliyochumwa na wanandoa wakiwa pamoja. Maria Tarafa (25), mkazi wa Kijiji cha Isale ambaye ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Operesheni Safisha Jiji yalalamikiwa

WIKI moja baada ya Operesheni Safisha Jiji, baadhi ya wakazi wameomba Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiq kuingilia kati, kuzuia uvunjifu wa sheria wa kubomolewa baadhi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kampuni ya Dandho yalalamikiwa kuziba barabara

WAKAZI wa Mtaa wa Usalama, Kata ya Sandali, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, wanailalamikia Kampuni ya Dandho inayosafirisha mizigo na mafuta ndani na nje ya nchi kwa kugeuza eneo...

 

10 years ago

Habarileo

Maziwa kutoka nchi jirani yalalamikiwa

CHAMA cha Wafugaji wa Ng’ombe wa Maziwa (TDCU) kinakusudia kumwandikia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kupinga uingizwaji holela wa maziwa yaliyosindikwa kutoka nchi jirani.

 

9 years ago

Mwananchi

NEC yalalamikiwa utendaji wake kuelekea uchaguzi

Mtandao wa Asasi za Kiraia za Uchaguzi Tanzania (TACCEO) unaoratibiwa na kituo cha Sheria na Haki za Binadamu umeilalamikia Tume ya Uchaguzi (NEC) kwa kushindwa kuweka hadharani daftari la kudumu la wapiga kura na vituo vya kupigia kura mapema.

 

10 years ago

StarTV

Ujenzi wa kituo cha ushuru Rusumo, TANROADS yalalamikiwa.

Na Mariam Emily,

Rusumo.

Baadhi ya wananchi katika mpaka wa Rusumo wilayani Ngara mkoani Kagera, wamelalamikia wakala wa barabara nchini TANROADS kutokuwa makini katika usimamizi wa ujenzi wa kituo cha ushuru wa forodha katika mpaka huo, ambacho wanadai kimejengwa chini ya kiwango ukilinganisha na kile cha nchi jirani ya Rwanda, ambavyo vyote vimejengwa kwa ufadhili wa serikali ya Japan kwa gharama ya dola za kimarekani milioni thelathini na mbili.

 

Wananchi hao wametoa malalamiko hayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani