Lori lapiga mweleka eneo la Tabata Gereji mchana huu,lilikuwa likiikwepa bajaj iliyokuwa ikikatisha barabara

Lori lenye nambari za Usajili T 812 BQL lililokuwa na tela lenye nambari za Usajili T 738 ASH likiwa limepiga mweleka baada ya dereva wake aliejitambulisha kwa jina la Hamis Razack (24) kuzidiwa maarifa wakati akijaribu kuikwepa Bajaj iliyokuwa ikivuka barabara ya Mandera.Dereva wa Lori hilo amesema kuwa alijikuta akizidiwa maarifa na kujikuta akivuka ng'ambo ya pili ya barabara na kuja kujikita katika hapo.Ajali hii imetokea mchana wa leo maeneo ya Tabata Garage (gereji) wakati Lori hilo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Basi la UDA lapiga mweleka eneo la Tabata Shule usiku huu

10 years ago
Vijimambo.jpg)
MTI MKUBWA WAPIGA MWELEKA MCHANA HUU ENEO LA SEAVIEW
.jpg)
.jpg)

.jpg)
.jpg)
.jpg)




10 years ago
Michuzi.jpg)
NEWS ALERT: MTI MKUBWA WAPIGA MWELEKA MCHANA HUU ENEO LA SEAVIEW
.jpg)
.jpg)

.jpg)
.jpg)
.jpg)




10 years ago
Michuzi
LORI LAPIGA MWELEKA LIKIJARIBU KUKWEPA GARI NYINGINE KIJIJI CHA KITUMBI

10 years ago
Michuzi
LORI LAPIGA MWELEKEKA ENEO LA UKONGA JIJINI DAR LEO




11 years ago
GPL
HII IMETOKEA MCHANA HUU ENEO LA MANZESE DARAJANI JIJINI DAR
11 years ago
GPL
BASI LA UDA LAPIGA MWELEKA
11 years ago
GPL
AJALI YATOKEA BARABARA YA MOSHI - ARUSHA MCHANA HUU
10 years ago
MichuziJUST IN: BASI LA PRINCES MUNAA LAPIGA MWELEKA MKOANI DODOMA LEO