BASI LA UDA LAPIGA MWELEKA
![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVXUNaCpfTjs4avz*J0RjQIGTblR8bm2A-wAEiIuF7rwVTFzLW0*pwcG-8p3yBeYoE0PZ1qeQsyXcDkDQdjd1Bkz/IMG_5456.jpg?width=650)
Moja ya mabasi yanayotoa huduma ya usafirishaji wa abiria ndani ya jiji la Dar es Salaam (UDA),lenye nambari za Usajili T 485 CVP limepiga mweleka katika eneo la Tabata shule, mbele ya Hoteli ya Green Light na ubavuni kabisa mwa kituo cha Polisi Tabata usiku wa kuamkia leo.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-deAZtjyXzIk/U3_UqxLsmOI/AAAAAAAFksc/aLwqyUWgoHc/s72-c/IMG_5467.jpg)
Basi la UDA lapiga mweleka eneo la Tabata Shule usiku huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-deAZtjyXzIk/U3_UqxLsmOI/AAAAAAAFksc/aLwqyUWgoHc/s1600/IMG_5467.jpg)
10 years ago
VijimamboBASI LA PRINCES MUNAA LAPIGA MWELEKA MKOANI DODOMA LEO
10 years ago
MichuziJUST IN: BASI LA PRINCES MUNAA LAPIGA MWELEKA MKOANI DODOMA LEO
10 years ago
Michuzi12 Nov
Basi lapiga mweleka huko Kahama leo,watu watano wadaiwa kupoteza maisha
![](https://4.bp.blogspot.com/-4UdQLcd_cNw/VGM-Vk_59aI/AAAAAAAA8qU/fhtL_P02kQ0/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JIHyBFJkBAU/VGM-V4MPouI/AAAAAAAA8qk/ZPrm0zpqXHY/s640/2.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/--RWJGfcRy28/VGM-Yxf5GaI/AAAAAAAA8qs/IMnLokrzGuU/s640/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2BZSSjhT3Io/VWYXzcX5w7I/AAAAAAAHaN8/ROc9wU3yAJk/s72-c/DSCF4806%2Bcopy.jpg)
LORI LAPIGA MWELEKA LIKIJARIBU KUKWEPA GARI NYINGINE KIJIJI CHA KITUMBI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2BZSSjhT3Io/VWYXzcX5w7I/AAAAAAAHaN8/ROc9wU3yAJk/s640/DSCF4806%2Bcopy.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-esaQEs4ldl4/U00m6xiq8sI/AAAAAAAFa3Q/GGhYlPPHXqQ/s72-c/MMG21002.jpg)
Lori lapiga mweleka eneo la Tabata Gereji mchana huu,lilikuwa likiikwepa bajaj iliyokuwa ikikatisha barabara
![](http://2.bp.blogspot.com/-esaQEs4ldl4/U00m6xiq8sI/AAAAAAAFa3Q/GGhYlPPHXqQ/s1600/MMG21002.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fpH1LYXbwt8/U5JjvlfKCnI/AAAAAAAFoPE/F1ARXPCxEl8/s72-c/unnamed+(12).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cE43fQLL_lk/VKKydsgoHhI/AAAAAAAG6mA/-ulzsD4ygWk/s72-c/IMG-20141230-WA0002.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
Simba wa Afrika apiga mweleka
Mara baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika hivi karibuni huko Addis Ababa nchini Ethiopia, Rais wa Zimbabwe Komredi Robert Gabriel Mugabe (Simba wa Afrika) alirejea nchini kwake ambapo alihutubia maelfu ya wazimbabwe waliokusanyika kuja kumlaki kiongozi wao.
Wakati alipokuwa akiteremka ngazi za jukwaa kiongozi huyo ambaye atatimiza miaka 91 ifikapo Februari 21 mwaka aliteleza na kupiga mweleka chini kama ambavyo inaonekana pichani.
Mitandao ya habari na ya kijamii ikiwemo,...