Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba wa Afrika apiga mweleka

Mara baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika hivi karibuni huko Addis Ababa nchini Ethiopia, Rais wa Zimbabwe Komredi Robert Gabriel Mugabe (Simba wa Afrika) alirejea nchini kwake ambapo alihutubia maelfu ya wazimbabwe waliokusanyika kuja kumlaki kiongozi wao.

Wakati alipokuwa akiteremka ngazi za jukwaa kiongozi huyo ambaye atatimiza miaka 91 ifikapo Februari 21 mwaka aliteleza na kupiga mweleka chini kama ambavyo inaonekana pichani.

Mitandao ya habari na ya kijamii ikiwemo,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kocha wa Simba apiga ‘stop’ usajili

Kocha wa Simba, Dylan Kerr amewazuia viongozi wa timu hiyo kufanya usajili wowote hasa mshambuliaji bila ya kujiridhisha juu ya uwezo wake.

 

11 years ago

GPL

Tambwe apiga dakika 1373 Simba SC

Mshambuliaji wa Simba SC, Amis Tambwe. Na Khadija Mngwai
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, raia wa Burundi, ndiye mchezaji pekee wa Simba aliyecheza dakika nyingi katika msimu mzima kwa kucheza dakika 1373. Wachezaji wa…

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba …

Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa, najua unahitaji kufahamu kuhusu stori za bilionea Mohamed Dewji ambaye maarufu kama MO kuweka bayana dhamira yake ya kutaka kuinunua Simba kupitia kipindi cha […]

The post Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba … appeared first on...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

BASI LA UDA LAPIGA MWELEKA

Moja ya mabasi yanayotoa huduma ya usafirishaji wa abiria ndani ya jiji la Dar es Salaam (UDA),lenye nambari za Usajili T 485 CVP limepiga mweleka katika eneo la Tabata shule, mbele ya Hoteli ya Green Light na ubavuni kabisa mwa kituo cha Polisi Tabata usiku wa kuamkia leo.…

 

11 years ago

GPL

IVORY COAST YAPIGWA MWELEKA NA COLOMBIA

Kiungo wa timu ya Ivory Coast, Geoffrey Die (kushoto) akilia baada ya kupata kipigo kutoka kwa timu ya Colombia siku ya jana. Mkongwe, Didier Drogba akimuacha chini beki wa Colombia katika mchezo ambao Ivory Coast ililala 2-1.…

 

10 years ago

Vijimambo

UKUTA WA NYUMBA YA DIAMOND WAPIGA MWELEKA

Ukuta wa nyumba ya Diamond ikionekena kudondoka kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Dar Es Salaam sasa hivi

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yapigwa mweleka mahakamani kesi ya uchaguzi

Kiteto.Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, kimepata pigo baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kiteto, kutengua matokeo ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji cha Lobosireti kwa kukiuka sheria na utaratibu wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Desemba, mwaka jana.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yapata pigo Afrika Kusini kabla ya kuivaa Yanga

Klabu ya Simba imepata pigo jingine kabla ya kukutana na wapinzani wao wa jadi Yanga baada ya kipa wao Hussein Sharrif ‘Casillas’ kuumia ugoko katika mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Orlando Pirates nchini Afrika Kusini walipoweka kambi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani