BASI LA PRINCES MUNAA LAPIGA MWELEKA MKOANI DODOMA LEO
Taarifa zilizotufikia kutokea Mkoani Dodoma zinasema kuwa kumetokea ajali ya Basi la Princes Munaa lililokuwa likitokea Jijini Dar es Salaam kwenda Mwanza, katika kijiji cha Mtanana Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma. Hakuna aliepoteza maisha katika ajali hii, watu kadhaa wamejeruhiwa.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJUST IN: BASI LA PRINCES MUNAA LAPIGA MWELEKA MKOANI DODOMA LEO
10 years ago
GPLBASI LA PRINCES MUNAA LAPATA AJALI DODOMA
Gari la Princes Munaa lenye namba za usajili T183 CRW likiwa limepiga mweleka. Muda mfupi uliopita, kumetokea ajali ya Basi la Princes Munaa lililokuwa likitokea Jijini Dar es Salaam kwenda Mwanza, katika kijiji cha Mtanana Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma. Hakuna aliepoteza maisha katika ajali hii, watu kadhaa…
10 years ago
Michuzi12 Nov
Basi lapiga mweleka huko Kahama leo,watu watano wadaiwa kupoteza maisha
![](https://4.bp.blogspot.com/-4UdQLcd_cNw/VGM-Vk_59aI/AAAAAAAA8qU/fhtL_P02kQ0/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JIHyBFJkBAU/VGM-V4MPouI/AAAAAAAA8qk/ZPrm0zpqXHY/s640/2.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/--RWJGfcRy28/VGM-Yxf5GaI/AAAAAAAA8qs/IMnLokrzGuU/s640/4.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVXUNaCpfTjs4avz*J0RjQIGTblR8bm2A-wAEiIuF7rwVTFzLW0*pwcG-8p3yBeYoE0PZ1qeQsyXcDkDQdjd1Bkz/IMG_5456.jpg?width=650)
BASI LA UDA LAPIGA MWELEKA
Moja ya mabasi yanayotoa huduma ya usafirishaji wa abiria ndani ya jiji la Dar es Salaam (UDA),lenye nambari za Usajili T 485 CVP limepiga mweleka katika eneo la Tabata shule, mbele ya Hoteli ya Green Light na ubavuni kabisa mwa kituo cha Polisi Tabata usiku wa kuamkia leo.…
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-deAZtjyXzIk/U3_UqxLsmOI/AAAAAAAFksc/aLwqyUWgoHc/s72-c/IMG_5467.jpg)
Basi la UDA lapiga mweleka eneo la Tabata Shule usiku huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-deAZtjyXzIk/U3_UqxLsmOI/AAAAAAAFksc/aLwqyUWgoHc/s1600/IMG_5467.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2BZSSjhT3Io/VWYXzcX5w7I/AAAAAAAHaN8/ROc9wU3yAJk/s72-c/DSCF4806%2Bcopy.jpg)
LORI LAPIGA MWELEKA LIKIJARIBU KUKWEPA GARI NYINGINE KIJIJI CHA KITUMBI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2BZSSjhT3Io/VWYXzcX5w7I/AAAAAAAHaN8/ROc9wU3yAJk/s640/DSCF4806%2Bcopy.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-esaQEs4ldl4/U00m6xiq8sI/AAAAAAAFa3Q/GGhYlPPHXqQ/s72-c/MMG21002.jpg)
Lori lapiga mweleka eneo la Tabata Gereji mchana huu,lilikuwa likiikwepa bajaj iliyokuwa ikikatisha barabara
![](http://2.bp.blogspot.com/-esaQEs4ldl4/U00m6xiq8sI/AAAAAAAFa3Q/GGhYlPPHXqQ/s1600/MMG21002.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-s0QqgCPNbIE/Va_kJ2rQoKI/AAAAAAABSfM/pRzSF9nVNwI/s72-c/photo_2015-07-22_21-38-46.jpg)
BREAKING NEWS: BASI LA SIMIYU LILILOKUWA LINATOKEA MWANZA KWENDA DAR LAPATA AJALI MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-s0QqgCPNbIE/Va_kJ2rQoKI/AAAAAAABSfM/pRzSF9nVNwI/s640/photo_2015-07-22_21-38-46.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EO3IjRcm2R0/UySbduC5YoI/AAAAAAAFTwI/mtygWZRdf4I/s72-c/unnamed.jpg)
MKUU WA MKOA WA DODOMA AONGOZA MATEMBEZI KWAAJILI YAKUAMASISHA UTUNZAJI WA VYANZO VYA MAJI MKOANI DODOMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-EO3IjRcm2R0/UySbduC5YoI/AAAAAAAFTwI/mtygWZRdf4I/s1600/unnamed.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania