Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


kutoka maktaba: basi la uda miaka ya 1980


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

kutoka maktaba: Basi la Mbeya-Masasi mwaka 1977

Basi lilikata mbuga likitokea Mbeya kuelekea Masasi. Wenye data watusaidie jina la basi hii iliyoletwa na mdau Joseph Mwaisango wa Mbeya Yetu

 

11 years ago

GPL

BASI LA UDA LAPIGA MWELEKA

Moja ya mabasi yanayotoa huduma ya usafirishaji wa abiria ndani ya jiji la Dar es Salaam (UDA),lenye nambari za Usajili T 485 CVP limepiga mweleka katika eneo la Tabata shule, mbele ya Hoteli ya Green Light na ubavuni kabisa mwa kituo cha Polisi Tabata usiku wa kuamkia leo.…

 

10 years ago

Michuzi

Kutoka Maktaba: Magufuli - (2005) tutasafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami

WANANCHI wataweza kusafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami,hayo yalisemwa Bungeni Mjini Dodoma wakati Waziri wa Ujenzi John Magufuli alipokua akijibu swali la Martha Mlata (Viti Maalum-CCM), swali lililohoji juu ya ahadi ya Serikali katika kipindi cha awamu ya nne na ahadi hiyo iliyosema wananchi wataweza kusafiri kwa taxi toka Mtwara hadi Bukoba.
Waziri Magufuli alisema kuwa nia ya msemo huo ni kuonesha kwamba wananchi wataweza kusafiri toka Mtwara hadi Bukoba kwa lami...

 

11 years ago

Michuzi

Basi la UDA lapiga mweleka eneo la Tabata Shule usiku huu

 Moja ya mabasi yanayotoa huduma ya usafirishaji wa abiria ndani ya jiji la Dar es salaam (UDA),lenye nambari za Usajili T 485 CVP na lenye nambari ya idadi 168.usiku huu limepiga mweleka katika eneo la Tabata Shule,mbele ya Hoteli ya Green Light na ubavuni kabisa mwa kituo cha Polisi Tabata.Kamera ya Glogu ya Jamii ilifika eneo hilo na kukuta baadhi ya wahusika waliokuwa wakilitumia basi hilo wakihangaika kutoa baadhi ya mali zao zilizokuwemo ndani ya basi hilo ili waweze kuondoka nazo...

 

9 years ago

Michuzi

KUTOKA MAKTABA YA GLOBU YA JAMII

 Abiria wa Treni ya Reli ya kati inayofanya safari zake kati ya Dar es salaam kwenda Kigoma, wakimuangalia mmoja wa abiria mwenzao akiwa nje ya Treni hiyo wakati ikiendelea na safari, kwa madai ya kumkwepa mkaguzi wa tiketi (TT) wa Treni hiyo.Hii ilikuwa ni mwanzoni mwa mwaka 2013.

 

10 years ago

Michuzi

kutoka maktaba: Underline a.k.a Sunderland SC enzi hizo....

Naam Underline hao! ( a.k.a Sunderland Sports Club.) Kisukari  ,Durban, Kimimbi, Emmanuel 'Full-up'Arthur Mambeta,Gilbert Mahinya, Ali Kajo, Kibunzi VC10/auYussuf Salum Maleta. Waliochuchumaa Hatibu ,Kilomoni,Choteka,Mbaraka Salum Magembe, Liston na Haji Lesso.  

 

10 years ago

Michuzi

KUTOKA MAKTABA: TASWIRA YA KIHISTORIA YA GLOBU YA JAMII...

Kutoka kushoto ni: Lwitiko Mwakilasa, Bernard Kakengi, Mapinduzi Mwankemwa, Mzee Kimaro wa JWTZ, Victor Gunze wa TBC, Raymond Mutafungwa. Rupia Lyabandi, Dennis Londo, Ankal Muhidin Issa Michuzi, Fidelis Tungaraza "Mti Mkubwa", Ndesanjo Macha, Magonera Malima na Kisakisa Kiwala.

Taswira hii ni ya Septemba 10, 2005 katika kiota cha maraha kinachopendwa sana na Wabongo cha Chelsea hapo jijini Helsinki Finland. Tukio ni mkusanyiko wa wadau kusherehekea kuanzishwa rasmi kwa Globu ya Jamii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani