Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUTOKA MAKTABA: TASWIRA YA KIHISTORIA YA GLOBU YA JAMII...

Kutoka kushoto ni: Lwitiko Mwakilasa, Bernard Kakengi, Mapinduzi Mwankemwa, Mzee Kimaro wa JWTZ, Victor Gunze wa TBC, Raymond Mutafungwa. Rupia Lyabandi, Dennis Londo, Ankal Muhidin Issa Michuzi, Fidelis Tungaraza "Mti Mkubwa", Ndesanjo Macha, Magonera Malima na Kisakisa Kiwala.

Taswira hii ni ya Septemba 10, 2005 katika kiota cha maraha kinachopendwa sana na Wabongo cha Chelsea hapo jijini Helsinki Finland. Tukio ni mkusanyiko wa wadau kusherehekea kuanzishwa rasmi kwa Globu ya Jamii...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KUTOKA MAKTABA YA GLOBU YA JAMII

 Abiria wa Treni ya Reli ya kati inayofanya safari zake kati ya Dar es salaam kwenda Kigoma, wakimuangalia mmoja wa abiria mwenzao akiwa nje ya Treni hiyo wakati ikiendelea na safari, kwa madai ya kumkwepa mkaguzi wa tiketi (TT) wa Treni hiyo.Hii ilikuwa ni mwanzoni mwa mwaka 2013.

 

10 years ago

Michuzi

taswira za jiji la tanga toka kwa mdau wa globu ya jamii

 Ankal pokea taswira hizi kutoka jiji la Tanga ushee na wadau. Hapa ni Tanga Yatch Club ambayo mandhari yake ni tamu kweli kama unavyojionea Mandhari ya ufukwe wa jiji la Tanga Tanga Yatch Club Bustani mwanana inayofadhiliwa na  Mkonge hotel ndiyo Kilimanjaro hotel yetu Karibu Tanga Moja ya shule kongwe na maarufu sana jijini Tanga Gereji yetu kuu.
Globu ya Jamii inamshukuru na kumpongeza sana mdau huyu kwa taswira hizi nzuri. Bahati mbaya hapendi jina lake  lijulikane. Pia tunakaribisha aina...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

IJUE HISTORIA YA GLOBU YA JAMII (CHANGAMOTO)

Mahojiano na Vijimambo Agosti 2011

 

11 years ago

Michuzi

IJUE HISTORIA YA GLOBU YA JAMII (ALIKOTOKEA ANKAL)

Recorded by Vijimambo on  July 29,  2011 in Washington DC 

 

10 years ago

Michuzi

Ankal na Wadau wa Globu ya Jamii, The Hague, Uholanzi

Ankal (wa pili shoto) akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa Globu ya Jamii jijini The Hague, Uholanzi, leo. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani