MTI MKUBWA WAPIGA MWELEKA MCHANA HUU ENEO LA SEAVIEW
Sehemu ya mashuhuda wa tukio la kuanguka mti mkubwa katika barabara ya Sea View,Upanga jijini Dar es Salaam.baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo wamesema kuwa chanzo cha kuanguka mti huo ni ukongwe wa mti huo. Sehemu ya magari yaliyoangukiwa na Mti huo mchana huu.
Muonekano wa Mti huo. Mti huo ukiwa umeangukia ukuta. Baadhi ya wamiliki wa magari hayo wakijadiliana mara baada ya magari yao kuangukiwa na mti huo. hapo kwenye hiyo viti kuna watu walikuwa wamekaa lakini walinusurika.Hawa ndio...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: MTI MKUBWA WAPIGA MWELEKA MCHANA HUU ENEO LA SEAVIEW
10 years ago
CloudsFM01 Dec
MTI MKUBWA WAANGUKA MCHANA HUU NA KULETA MADHARA MAENEO YA SEA VIEW,UPANGA
Mti mkubwa waanguka mchana wa leo na kuleta madhara maeneo ya Sea View,Upanga,jijini Dar. Chanzo cha kuanguka kwa mti huo ni kutokana na ukongwe wa mti huo.
Source: Michuzi
11 years ago
MichuziLori lapiga mweleka eneo la Tabata Gereji mchana huu,lilikuwa likiikwepa bajaj iliyokuwa ikikatisha barabara
11 years ago
MichuziBasi la UDA lapiga mweleka eneo la Tabata Shule usiku huu
11 years ago
GPLHII IMETOKEA MCHANA HUU ENEO LA MANZESE DARAJANI JIJINI DAR
11 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZZ....: WATU ZAIDI YA 10 WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA GARI ILIYOTOKEA ENEO LA MAKONGO,JIJINI DAR MCHANA HUU
10 years ago
VijimamboUKUTA WA NYUMBA YA DIAMOND WAPIGA MWELEKA
10 years ago
GPLENEO LA BAMAGA MWENGE DAR LEO MCHANA
11 years ago
MichuziAJALI ENEO LA AFRIKANA, MBEZI BEACH MCHANA WA LEO