Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTI MKUBWA WAPIGA MWELEKA MCHANA HUU ENEO LA SEAVIEW


 Sehemu ya mashuhuda wa tukio la kuanguka mti mkubwa katika barabara ya Sea View,Upanga jijini Dar es Salaam.baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo wamesema kuwa chanzo cha kuanguka mti huo ni ukongwe wa mti huo. Sehemu ya magari yaliyoangukiwa na Mti huo mchana huu.
 Muonekano wa Mti huo. Mti huo ukiwa umeangukia ukuta. Baadhi ya wamiliki wa magari hayo wakijadiliana mara baada ya magari yao kuangukiwa na mti huo. hapo kwenye hiyo viti kuna watu walikuwa wamekaa lakini walinusurika.Hawa ndio...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MTI MKUBWA WAPIGA MWELEKA MCHANA HUU ENEO LA SEAVIEW

 Sehemu ya mashuhuda wa tukio la kuanguka mti mkubwa katika barabara ya Sea View,Upanga jijini Dar es Salaam.baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo wamesema kuwa chanzo cha kuanguka mti huo ni ukongwe wa mti huo. Sehemu ya magari yaliyoangukiwa na Mti huo mchana huu. Muonekano wa Mti huo. Mti huo ukiwa umeangukia ukuta. Baadhi ya wamiliki wa magari hayo wakijadiliana mara baada ya magari yao kuangukiwa na mti huo. hapo kwenye hiyo viti kuna watu walikuwa wamekaa lakini walinusurika.Hawa ndio...

 

10 years ago

CloudsFM

MTI MKUBWA WAANGUKA MCHANA HUU NA KULETA MADHARA MAENEO YA SEA VIEW,UPANGA

Mti mkubwa waanguka mchana wa leo na kuleta madhara maeneo ya Sea View,Upanga,jijini Dar. Chanzo cha kuanguka kwa mti huo ni kutokana na ukongwe wa mti huo.

Source: Michuzi

 

11 years ago

Michuzi

Lori lapiga mweleka eneo la Tabata Gereji mchana huu,lilikuwa likiikwepa bajaj iliyokuwa ikikatisha barabara

 Lori lenye nambari za Usajili T 812 BQL lililokuwa na tela lenye nambari za Usajili T 738 ASH likiwa limepiga mweleka baada ya dereva wake aliejitambulisha kwa jina la Hamis Razack (24) kuzidiwa maarifa wakati akijaribu kuikwepa Bajaj iliyokuwa ikivuka barabara ya Mandera.Dereva wa Lori hilo amesema kuwa alijikuta akizidiwa maarifa na kujikuta akivuka ng'ambo ya pili ya barabara na kuja kujikita katika hapo.Ajali hii imetokea mchana wa leo maeneo ya Tabata Garage (gereji) wakati Lori hilo...

 

11 years ago

Michuzi

Basi la UDA lapiga mweleka eneo la Tabata Shule usiku huu

 Moja ya mabasi yanayotoa huduma ya usafirishaji wa abiria ndani ya jiji la Dar es salaam (UDA),lenye nambari za Usajili T 485 CVP na lenye nambari ya idadi 168.usiku huu limepiga mweleka katika eneo la Tabata Shule,mbele ya Hoteli ya Green Light na ubavuni kabisa mwa kituo cha Polisi Tabata.Kamera ya Glogu ya Jamii ilifika eneo hilo na kukuta baadhi ya wahusika waliokuwa wakilitumia basi hilo wakihangaika kutoa baadhi ya mali zao zilizokuwemo ndani ya basi hilo ili waweze kuondoka nazo...

 

11 years ago

GPL

HII IMETOKEA MCHANA HUU ENEO LA MANZESE DARAJANI JIJINI DAR

AJALI hii imetokea mchana huu eneo la Manzese Darajani jirani na kituo cha Polisi Manzese jijini Dar es Salaam. (PICHA NA MDAU WA GPL,…

 

11 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZZ....: WATU ZAIDI YA 10 WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA GARI ILIYOTOKEA ENEO LA MAKONGO,JIJINI DAR MCHANA HUU

 Watu zaidi ya kumi wamepoteza maisha kwenye ajali ya Daladala inayofanya safari zake kati ya Ubungo - Tegeta jijini Dar mchana huu,baada ya kushindwa maarifa ya kiudereva kwa Dereva wa daladala hilo hali iliyompelekea dereva huyo kuhama mpaka upande wa pili wa barabara na kulivaa lori kwa nyuma.Chanzo cha ajali hiyo inaelezwa kuwa ni mwendo kasi.  Hili ndilo lori lililokuwa likipita katika upande huo wa Barabara na kufatwa na daladala hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

UKUTA WA NYUMBA YA DIAMOND WAPIGA MWELEKA

Ukuta wa nyumba ya Diamond ikionekena kudondoka kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Dar Es Salaam sasa hivi

 

10 years ago

GPL

ENEO LA BAMAGA MWENGE DAR LEO MCHANA

Taswila ya muonekano wa eneo la Bamaga baada ya mvua kunyesha. Watembea kwa miguu wakionekana kupita kwa taabu.
.. Maji yakionekana kupungua katikati ya…

 

11 years ago

Michuzi

AJALI ENEO LA AFRIKANA, MBEZI BEACH MCHANA WA LEO

 Gari aina ya Nissan Hard Body yenye Namba za Usajili T 524 ALW likiwa limetupwa mtaroni na trela la lori (halipo pichani) ambalo lililigonga gari hilo na kutumbukia mtaroni eneo la Afrikana Mbezi Beach Mchana wa leo. Katika Ajali hiyo iliyohusisha Lori na gari aina ya Nissan Hard Body hakuna mtu yoyote aliyepoteza Maisha Wananchi wakisaidia Kulifunga minyororo gari aina ya Nissan Hard Body ambayo imetumbukia mtaroni mara baada ya Kugongwa na trela la lori (halipo pichani) mchana wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani