Lori 100 za mafuta zashambuliwa Syria
Muungano huo umeharibu zaidi ya malori 100 mashariki mwa Syria katika eneo ambalo wanamgambo wa Islamic State huendesha shughuli zao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLLORI LA MAFUTA LAANGUKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
LORI LA TANKI LA MAFUTA LAPINDUKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwp*e-E2og6MNjcG1-dkfdefAwQlSXgG-QHdzs6I-0JMtEv4gPOUnJ4BorqaARGw0IPpmd-fofC5J0EQCJdZDLAn/LOLI.jpg?width=650)
LORI LA MAFUTA LAUA 70 NIGERIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-T5d6ReEQFFNKQIWZIo9c58fzc6xoqCwI16vepRlo9PR77UH*tJZc*FcqkFQZonolVh7BWrBsg1H8qNgdqVkwlcnm-*cwS0o/BREAKINGNEWS22.gif?width=500)
LORI LA MAFUTA LAANGUKA KIMARA, DAR
11 years ago
Habarileo07 Mar
Dereva lori la mafuta afa ajalini
DEREVA wa gari la mafuta Ally Ngoma (62) amefariki dunia baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongana na basi dogo la abiria.
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Lori la mafuta laua na kujeruhi Dar
Kaimu Kamanda wa Polisi Temeke, Nyigesa Wankyo.
Na Mwandishi wetu
Moto mkubwa umeua mtu mmoja na kujeruhi wengine 19 waliokuwa wanachota mafuta ya petroli yaliyomwagika baada ya lori kupinduka eneo la Mbagala rangi tatu.
Tukio hilo linadaiwa kutokea kati ya saa 4:40 – 5.15 usiku wakati lori hilo liliposhindwa kukata kona kwenye mzunguko wa Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam na kuanguka kwenye mtaro.
Kaimu Kamanda wa Polisi Temeke, Nyigesa Wankyo alimtaja aliyekufa katika tukio hilo...
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Lori la mafuta lawaua watu 70 Nigeria
10 years ago
Mtanzania15 Oct
Lori la mafuta laleta maafa Dar
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
WATU wanne wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa vibaya, baada ya lori lililokuwa limebeba mafuta ya petroli kuanguka na kuteketea kwa moto katika eneo la Mbagala Rangitatu.
Hali hiyo ilizua taharuki na vilio kwa wakazi wa eneo hilo na maeneo jirani, baada ya idadi kubwa ya watu kujeruhiwa vibaya kutokana na moto huo ulioanza saa 6 usiku.
Watu wengi walijeruhiwa baada ya kwenda kuchota mafuta yaliyokuwa yanamwagika wakiwa na ndoo, vidumu vya lita tano na...
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Lori la mafuta lalipuka, laua watatu Mbeya