Tigo yatoa mchango wa madawati 700 kwa shule za umma mkoani Mbeya
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Tigo nchini, Diego Gutierrez, (kushoto) akimkabidhi madawati yaliyotolewa na kampuni hiyo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, Tigo imetoa msaada wa madawati 700 yenye thamani ya 49 milioni kwa shule za msingi za wilaya za Rungwe, Mbozi na Mbeya Mjini.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, (kulia) akimkabidhi madawati Ofisa Elimu Shule za Msingi Jiji la Mbeya, Deusdedit Bimbalirwa, baada ya kukabidhiwa msaada wa madawati 700 yenye thamani ya Sh49milioni...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
TPA yatoa msaada wa Madawati 110 shule ya msingi Mahumbika mkoani Lindi
![](http://1.bp.blogspot.com/-K4kqai4m20w/U0EbmuTTH6I/AAAAAAAASy0/PFzRdO8VvqM/s1600/PIC+8.jpg)
Mkuu wa Bandari ya Mtwara, Absalom Bohela (kushoto) akikabidhi msaada wa madawati 110 yenye thamani ya shilingi milioni 20 kwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Ludovick Mwananzila (kulia) wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika hivi karibuni katika kijiji cha Mahumbika kilichopo Lindi vijijini.
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Ludovick Mwananzila (kulia) na Mkuu wa Bandari ya Mtwara, Absalom Bohela (kushoto) wakiwa na baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Mahumbika wakati wa kukabidhi msaada wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eDYrPX9u4Tc/VMDKFfw6pYI/AAAAAAAACJI/epOhsY4Mxr4/s72-c/TUMAINI%2BSEMA.jpg)
MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA KWA KUSHILIKIANA NA BENKI YA NMB YAMWAGA MADAWATI 84 SHULE ZA MSINGI ITIJI NA IVUMWE JINI MBEYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-eDYrPX9u4Tc/VMDKFfw6pYI/AAAAAAAACJI/epOhsY4Mxr4/s1600/TUMAINI%2BSEMA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ndeL_cgZELs/VMDJ0Y5wfnI/AAAAAAAACIw/kmARkGFEgXw/s1600/NMB%2Bna%2BMwanjelwa.jpg)
10 years ago
Michuzi06 Mar
TTCL yatoa Msaada wa Madawati kwa Shule ya Msingi Bunena,Bukoba
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-WSN62WQqEUw%2FVPmPBPnOroI%2FAAAAAAAAaC4%2FWsv4tDvg8_M%2Fs1600%2F5.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rW0Z6OUQnVk/Vd6w0s04X4I/AAAAAAAH0VM/O5PKr_lkkDo/s72-c/Untitled.png)
Jamani Foundation yatoa msaada wa madawati 150 kwa shule tatu za Temeke
![](http://1.bp.blogspot.com/-rW0Z6OUQnVk/Vd6w0s04X4I/AAAAAAAH0VM/O5PKr_lkkDo/s640/Untitled.png)
10 years ago
MichuziBenki ya NBC yatoa msaada wa madawati kwa Shule ya Msingi Mlingotini mjini Bagamoyo
9 years ago
VijimamboBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MADAWATI 200 KWA SHULE YA MSINGI BUYUNI ILALA
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza katika hafla ya kukabidhi madawati 200 kwa Shule ya Msingi Buyuni iliyopo ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam. Madawati hayo yametolewa na Benki ya CRDB ili kukabiliana na upungufu wa madawati shuleni hapo.
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MADAWATI 200 KWA SHULE YA MSINGI BUYUNI ILALA, DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a_1BRKf3eF0/VV8PBKyKppI/AAAAAAAHY_M/hckI4rDLuCY/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
HASSAN MAAJAR, TIGO WACHANGIA MADAWATI MKOANI SHINYANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-a_1BRKf3eF0/VV8PBKyKppI/AAAAAAAHY_M/hckI4rDLuCY/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ODP1uKbUe_Q/VV8PBRbTJ5I/AAAAAAAHY_U/9Qsj_hHx_Gs/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JsLO8zTVo2I/VV8PBTSJkeI/AAAAAAAHY_Q/RYCQw8Km0Q8/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-41HBrDWLDMI/VV8PCgQiHkI/AAAAAAAHY_o/LGWjlOHkOYI/s640/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-V8l9SsUPZSw/VV8PC9aPt8I/AAAAAAAHY_g/SNeiriI6eBg/s640/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA (TAA), YATOA MSAADA WA MADAWATI YENYE THAMANI YA SH.MILIONI 10 KWA SHULE YA MSINGI YOMBO