SOKO TEGETA LATEKETEA KWA MOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-lD4gBQPMgy4/XkuPaVbrw3I/AAAAAAACy4o/--6RBym9uVsSvO1wTZt6y3qX4jlfwpjmQCLcBGAsYHQ/s72-c/TEGETA%2BMOTO.jpg)
Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza vibanda saba katika soko la Tegeta Nyuki Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Kamanda wa Polisi Kinondoni, Musa Taibu amesema moto huo ulianza saa 6 usiku.
“Ni kweli moto umeshika sehemu ya maduka na sio soko lote, vibanda saba vimeteketea. Baada ya kupata taarifa polisi kwa kushurikiana na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji walifanikiwa kuuzima,” amesema.
Kamanda Taibu amesema uchunguzi umeanza kubaini chanzo na hasara iliyosababishwa na moto...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Soko la Karume lateketea kwa moto
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR5YY5tdKYsyWJSPNIKeHhEh-WtyQZFPs5X*3n7ZI7Av--34ih6FS3GW*0-LsxOnbudXUHdCX7aGKVEmdsdmvUCR/IMG20150713WA0028.jpg)
SOKO LA WAKULIMA KAHAMA LATEKETEA KWA MOTO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC0ha*GSKqGN6woStskyX3rH-wYnDzu5JvJw7CfUjUecXWuePC9cCZHsxbDjukBAuEgwu7UuRIL7iW5DvVNfotGG/1.jpg?width=650)
SOKO LA KARUME LATEKETEA KWA MOTO TANGU JANA USIKU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfCJ14JKY4P5AInjW-zmQ4c4dOxE1JB4TWwfiHv-xWYuSp8mnCroEWlNkdT*ZRoh67524q8uHgGz4I*im*wUtC32/arushamoto.jpg?width=650)
GARI LATEKETEA KWA MOTO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKnUW*LRG4PWHF8MB*7QrbRZeIaWEyVsfgzS2ynY6n0rdMDHln-Fe4sAppkZsQWCv2OC-OkYrtle8364oLDxPPwQ/IMG20140831WA0001.jpg)
GARI LATEKETEA KWA MOTO MOROGORO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q2Tkj4Pt7y7hhsHPgVXr2jJkzEZx-mdFwDsWTquAQnA4*dlDIGkC8f-VQwraJlWUB1vJZqTv3rlq6zoO3okMaib/BREAKINGNEWS.gif)
BASI LA HOOD LATEKETEA KWA MOTO PWANI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HVtGRIUTd2k/VKJTKbMGtTI/AAAAAAACVAM/rVDMdEWPoks/s72-c/5.jpg)
GARI LATEKETEA KWA MOTO MAKUMBUSHO DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-HVtGRIUTd2k/VKJTKbMGtTI/AAAAAAACVAM/rVDMdEWPoks/s640/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-77GE92xN-No/VKJTL1ama9I/AAAAAAACVAU/xvX2fNaEzzw/s640/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6qHWCCYZPqE/VKJTNuw8AfI/AAAAAAACVAc/o5fZ0FCcxl8/s640/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zj_q1v9pHpI/VKJTPC-QVvI/AAAAAAACVAk/tq8ZgPdpxJg/s640/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMMn3l1oEu6XEvr*f4DmzSSTvHxeRt9bjpiVTKayCW7hnYKS1fqRPS33Lb-TBy6DqN*1VIVjUcIadwYSZRMBa5im/6.jpg?width=650)
LORI LA MAFUTA LAANGUKA, LATEKETEA KWA MOTO DAR
10 years ago
VijimamboBASI LA DAR EXPRESS LATEKETEA KWA MOTO WILAYANI BAGAMOYO
Kamanda wa polisi mkoa wa Pwani anasema ‘Ni kweli basi la Dar Express leo saa saba mchana limeteketea kwa moto katika kijiji cha Makocho kijiji hiki kiko katikati ya kijiji cha Mandera na Mbwewe ndani ya Wilaya ya Bagamoyo...