Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam FC yasaka saini ya Mzambia

Dar es Salaam. Matajiri wa Chamazi, Azam wameanza harakati za kuisaka saini ya mshambuliaji wa Power Dynamos ya Zambia, Jimmy Ndhlovu anayetajiwa kutua nchini Jumatano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Azam yasaka ubingwa kwa Sh500 mil

‘Maisha yanakwenda kasi’, huo ndio ukweli baada ya mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Azam kutumia Sh565 milioni kusajili nyota sita akiwamo mchezaji ghali zaidi msimu huu, Leonel Saint-Preux.

 

10 years ago

GPL

WASAKATONGE COMEDY SHOW NDANI YA AZAM TV YASAKA WAKALI WA UCHEKESHAJI, USAHILI KUFANYIKA UWANJA WA TAIFA DAR!

DUNIANI kote! watu hujipatia fedha nyingi na kujenga heshima kubwa ndani na nje ya nchi zao kupitia vipaji walivyojaaliwa na Mungu muumba. Watu kama Cristiano Ronaldo, Lionel Messi, Wayne Rooney, Yaya Toure, Didier Drogba na wengineo, wana utajiri mkubwa kupitia miguu yao iliyobarikiwa kutandaza soka. Hata Tanzania kuna wanasoka wengi wanaovuna mamilioni ya fedha kupitia vipaji vyao. Mbali na soka, wengine wana vipaji vikubwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yamleta fowadi Mzambia

Klabu ya Yanga imemleta nchini kwa majaribio mshambuliaji raia wa Zambia, Jonas Sakuwaha anayeichezea klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

EPHRAIM SEKELETI : Mwimbaji Injili Mzambia anayeihusudu Tanzania

JINA la Ephraim Sekeleti Mutalange si geni masikioni na machoni pa wengi si kutokana na umaarufu wake katika uimbaji na utungaji wa vibao vilivyobeba ujumbe murua, pia uwezo wake wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwananchi FC yasaka ubingwa EA

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Dioniz Malinzi ameikabidhi bendera ya Taifa, timu ya Soka ya Kampuni ya Mwananchi Commnications Limited (Mwananchi FC), na kuitaka ipambane kikamilifu na kuhakikisha inatwaa ubingwa wa Afrika Mashariki kwenye Michuano ya Kombe la Standard Chartered.

 

11 years ago

BBCSwahili

WHO yasaka mikakati kupambana na Ebola

Wataalamu wa maswala ya Afya ulimwenguni kutoka WHO wanakutana kujadili hatua mpya za kupambana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yasaka kocha England

>Pamoja na makocha wengi kujitokeza kuwania nafasi ya kuinoa Yanga, uongozi wa klabu hiyo umeelekeza nguvu zao Uingereza kwa ajili ya kurithi mikoba ya kocha Mholanzi, Ernie Brandts.

 

9 years ago

Mwananchi

Simba yasaka wapya watano

Huku Simba ikianza mazungumzo na klabu ya FC Lupopo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ili kunasa saini ya mshambuliaji wa timu hiyo, Daniel Lyanga, imebainika kuwa inasaka wapya watano.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yasaka wahujumu mafuta

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles MwijageSERIKALI imeanza msako wa mtu au watu waliohusika na hujuma ya mafuta, kwa kutouzia wateja wa reja reja, pamoja na wanaosambaza ujumbe mfupi wa maandishi, kutisha kuwa mafuta hayatapatikana hadi leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani