Yanga yamleta fowadi Mzambia
Klabu ya Yanga imemleta nchini kwa majaribio mshambuliaji raia wa Zambia, Jonas Sakuwaha anayeichezea klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvRrl6SO5AvAIsvprjlz0AT*jngMaSNy2lLiQE3eLSrlVjg1UXyyKONxsNq50z4-rbLaLuWGyEAvHgElUoPbu0JX/1.gif?width=650)
Yanga SC yamleta Samatta Dar
Mbwana Samatta. Wilbert Molandi,Dar es Salaam
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wanatarajiwa kuwaleta mabingwa wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini (PSL), Kaizer Chiefs, pamoja na TP Mazembe wanaocheza Watanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kwa ajili ya kuwapima nyota wao wapya waliowasajili. Yanga hadi sasa wamefanikiwa kumsajili kiungo mshambuliaji wa Mbeya City, Deus Kaseke huku ikiwabakiza Haruna Niyonzima, Mbuyu...
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Brandts awapa maagizo fowadi
Kocha Mkuu wa Yanga, Ernest Brandts amewataka washambuliaji wake kuhakikisha wanavunja rekodi ya msimu uliopita ya kuzifumania nyavu huku akiahidi kuwapa nafasi ya kucheza kila mmoja katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu.
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Simba yamleta nduguye Tambwe
Simba imemleta nchini kwa majaribio mshambuliaji kutoka Burundi baada ya kocha mkuu, Dylan Kerr kupendekeza atafutiwe mchezaji mwingine mwenye nguvu, akili ya mchezo.
10 years ago
Mwananchi19 Jun
Azam FC yasaka saini ya Mzambia
Dar es Salaam. Matajiri wa Chamazi, Azam wameanza harakati za kuisaka saini ya mshambuliaji wa Power Dynamos ya Zambia, Jimmy Ndhlovu anayetajiwa kutua nchini Jumatano.
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
EPHRAIM SEKELETI : Mwimbaji Injili Mzambia anayeihusudu Tanzania
JINA la Ephraim Sekeleti Mutalange si geni masikioni na machoni pa wengi si kutokana na umaarufu wake katika uimbaji na utungaji wa vibao vilivyobeba ujumbe murua, pia uwezo wake wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania