Yanga SC yamleta Samatta Dar
![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvRrl6SO5AvAIsvprjlz0AT*jngMaSNy2lLiQE3eLSrlVjg1UXyyKONxsNq50z4-rbLaLuWGyEAvHgElUoPbu0JX/1.gif?width=650)
Mbwana Samatta. Wilbert Molandi,Dar es Salaam MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wanatarajiwa kuwaleta mabingwa wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini (PSL), Kaizer Chiefs, pamoja na TP Mazembe wanaocheza Watanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kwa ajili ya kuwapima nyota wao wapya waliowasajili. Yanga hadi sasa wamefanikiwa kumsajili kiungo mshambuliaji wa Mbeya City, Deus Kaseke huku ikiwabakiza Haruna Niyonzima, Mbuyu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Yanga yamleta fowadi Mzambia
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Simba yamleta nduguye Tambwe
9 years ago
MillardAyo23 Dec
TOP 5 Stories: Samatta kapata timu Ulaya, Majabvi kamalizana na Simba, anayefifisha nyota ya Niyonzima Yanga …
Mtu wangu wa nguvu najua unashauku ya kutaka kufahamu leo December 23 kuna stori gani katika headlines za soka la Bongo. Huenda ukawa hukupata bahati ya kusoma stori za michezo za magazeti ya leo December 23. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee headlines 5 za stori za magazeti ya michezo ya Tanzania. 5- Majabvi amalizana […]
The post TOP 5 Stories: Samatta kapata timu Ulaya, Majabvi kamalizana na Simba, anayefifisha nyota ya Niyonzima Yanga … appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Samatta, Ulimwengu waanza kujifua Dar
NYOTA wa kimataifa wa Tanzania wanaocheza soka ya kulipwa katika klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu, wametua nchini kwa mechi ya kimataifa dhidi ya...
9 years ago
Habarileo11 Nov
Samatta, Ulimwengu kuifuata Stars Dar
WASHAMBULIAJI mahiri wa Tanzania wanaoichezea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mbwana Ally Samatta na Thomas Ulimwengu wataungana na timu ya taifa jijini Dar es Salaam badala ya kwenda Afrika Kusini ambako imepiga kambi.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Qq9TEu58N08/Uu5LYI5Ad9I/AAAAAAAFKU4/mLW7YfPig5g/s72-c/MMG29815.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 1-0
![](http://3.bp.blogspot.com/-Qq9TEu58N08/Uu5LYI5Ad9I/AAAAAAAFKU4/mLW7YfPig5g/s1600/MMG29815.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9hsgcHyJetE/Uu5LX_potSI/AAAAAAAFKVA/hw8mmxNyb4Y/s1600/MMG29823.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6FOZHdZEIv4/UvY45bmXDHI/AAAAAAAFLvg/pyVmNSzfsnE/s72-c/MMG20203.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA KOMOROZINE YA NCHINI COMORO UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 2-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-6FOZHdZEIv4/UvY45bmXDHI/AAAAAAAFLvg/pyVmNSzfsnE/s1600/MMG20203.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y_TcBJBhQDU/UvY47X4fZFI/AAAAAAAFLvo/2my7ZRqMF4w/s1600/MMG20165.jpg)
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/118.jpg)
Yanga Yajichimbia Jeshini Dar
9 years ago
Habarileo21 Oct
Ni Yanga na Toto lake Dar
BAADA ya vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga na Azam FC kutoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wao uliopita, leo Yanga wana kibarua kingine watakapoikaribisha Toto Africans ya Mwanza kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.