MWANAMKE AJERUHIWA KWA KUGONGWA NA DALADALA URAFIKI, DAR
![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL00Lnder1Z1FxpsybtcXa1IE97rw4ajlESliHGNxBkQPPEYFTAMN9Tzz4sMK8NMp7a-6quJCs2QUIYL8*sbBaQw/11.jpg?width=650)
 MWANAMKE mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja akiwa ni mkazi wa Dar leo asubuhi aligongwa na gari aina ya…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Hivi kuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke?
Kati ya vitu vinavyowachanganya watu wengi ni swali kwamba: Je, mwanaume na mwanamke wanaweza kubaki kuwa marafiki na wasijiingize katika uhusiano wa kimapenzi?
10 years ago
MichuziMKE WA MWANAHABARI WA KAMPUNI YA GUARDIAN NA NIPASHE, THOBIAS MWANAKATWE AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI JIJINI DAR ES SALAAM JANA
akiwa na mke wake enzi za uhai wake.
Dotto Mwaibale
MWANAHABARI wa Kampuni ya The Guardian na Nipashe, Thobias Mwanakatwe, amepoteza mke wake baada ya kugongwa na gari eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam jana usiku majira ya saa 2:30.
Akizungumza na mtandao wa www.habari za jamii.com. Mwanakatwe amesema kifo cha ghafla cha mke wake ni pigo kubwa kwake na familia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZKjpPX9gtzWM1a0yjyC9gfOV2Xiuv90ncCjHdWNhjNz7Mg66YIPZL5WoYZtn4*AgzDs2w8ZX2ekhwS3MWuR9HaY6Dj7jrYc-/IMG20140902WA0006.jpg?width=650)
MWANAMKE AGONGWA NA DALADALA UBUNGO MAJI
Raia wakijaribu kuokoa maisha ya dada aliyegongwa na gari (daladala) maeneo ya Ubungo maji wakati akivuka bara bara. Majeruhi (dada huyo) akichukuliwa kwenye gari na wasamaria wema.…
10 years ago
VijimamboMKE WA MWANAHABARI WA KAMPUNI YA GUARDIAN NA NIPASHE, THOBIAS MWANAKATWE AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI NJE YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM JANA
Dotto Mwaibale
MWANAHABARI wa Kampuni ya The Guardian na Nipashe, Thobias Mwanakatwe, amepoteza mke wake baada ya kugongwa na gari eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam jana usimu majira ya saa 2;30.
Akizungumza na mtandao wa www.habari za jamii.com. Mwanakatwe amesema kifo cha ghafla cha mke wake ni pigo kubwa kwake na familia...
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Siti za daladala zauzwa kwa Sh500 Dar
Kwa mjamzito, mama mwenye mtoto, mzee au mtu mwingine yeyote mwenye matatizo, sasa anatakiwa kulipa fedha zaidi ya nauli ya daladala iwapo anataka nafasi ya kukaa.
10 years ago
Michuzi23 Jul
11 years ago
GPLMWANAMKE ALIYEMKWAPULIA 20,000/= MWANAMKE MWENZAKE ‘ATAITIWA’ DAR
Umati wa watu ukiwa unashangaa kitendo cha mwanadada (kushoto mwenye kitambaa cha zambarau kichwani) aliyemkwapulia 20,000 mwenzake. Wengine wakitaka apigwe kama mwizi, wengine wakiomba asamehewe.…
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Afa kwa kugongwa na treni
MKAZI wa Kimara, jijini Dar es Salaam, Frenk Mtandi (32), amefariki dunia baada ya kugongwa na treni ya mizigo. Tukio hilo limetokea juzi katika eneo la Mabibo Bandari Kavu wakati...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Mwanamke Dar kortini kwa heroini
Mfanyabiashara na mkazi wa Mikocheni, Christina Kigahe (36) jana alipandishwa katika kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka matatu ya kuingiza nchini dawa za kulevya zenye thamani ya zaidi ya Sh99 milioni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania