MWANAMKE AGONGWA NA DALADALA UBUNGO MAJI
![](http://api.ning.com:80/files/ZKjpPX9gtzWM1a0yjyC9gfOV2Xiuv90ncCjHdWNhjNz7Mg66YIPZL5WoYZtn4*AgzDs2w8ZX2ekhwS3MWuR9HaY6Dj7jrYc-/IMG20140902WA0006.jpg?width=650)
Raia wakijaribu kuokoa maisha ya dada aliyegongwa na gari (daladala) maeneo ya Ubungo maji wakati akivuka bara bara. Majeruhi (dada huyo) akichukuliwa kwenye gari na wasamaria wema.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v3DYtXKaFNp6xmj2OMOPTZ3GLk-Tp2UUD8ccSYjodkob3RW3SaCfGDQj8XZM9typDgEozmNCOKkEHwChXGDjtjjk*MFvGSa0/2.jpg?width=650)
ASKARI WA USALAMA BARABARANI AGONGWA NA DALADALA SIKU YA JANA, MBAGALA DAR
10 years ago
Habarileo21 Oct
Kituo cha daladala Ubungo kuzinduliwa
KITUO kipya cha daladala cha Ubungo kilichohamishiwa Kituo cha Simu, kati ya barabara ya Sam Nujoma na Sinza jijini Dar es Salaam, linatarajiwa kuzinduliwa rasmi kesho kutwa. Hayo yalielezwa katika taarifa ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Ofisa Mfawidhi wake, Conrad Shio.
11 years ago
TheCitizen22 May
Ubungo-tegeta daladala strike enters day three
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Daladala Ubungo kuhamia nyuma ya TCRA Tower
11 years ago
Habarileo16 Feb
Kituo kipya cha daladala Ubungo kuanza mwezi ujao
KITUO kipya cha daladala kilichopo eneo la Migombani jirani na jengo la Mawasiliano kitakachochukua nafasi ya kituo cha Ubungo kinatarajiwa kuanza kutumika mwishoni mwa mwezi huu baada ya kukamilika kwa sehemu kubwa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBImr3BxSJ5IpNGU4peM*3Osfc5IyWay8SKYqTLyAfTr2mmjw6lawuMJijj3A9fWsa2x8oFP3FA*j1-bkgOH0H*Bh/2.jpg?width=650)
KITUO KIPYA KILICHOSUSIWA NA MADEREVA DALADALA UBUNGO JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL00Lnder1Z1FxpsybtcXa1IE97rw4ajlESliHGNxBkQPPEYFTAMN9Tzz4sMK8NMp7a-6quJCs2QUIYL8*sbBaQw/11.jpg?width=650)
MWANAMKE AJERUHIWA KWA KUGONGWA NA DALADALA URAFIKI, DAR
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Mil. 97/- kurejesha maji Ubungo
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imetenga sh 97,869,980 kwa mwaka wa fedha 2013/2014 ili kukarabati miundombinu na kurejesha huduma ya maji katika maeneo yasiyo na huduma hiyo. Hayo yalibainishwa na...
9 years ago
Habarileo11 Sep
‘Nipeni Ubungo nitatue kero ya maji’
MGOMBEA wa Ubunge katika Jimbo la Ubungo kupitia Chama cha UPDP, Naomi Mabrouk amewaomba wananchi wa jimbo hilo kumpa ridhaa ya kuwa mbunge wao ili aweze kutatua kero mbalimbali ikiwemo ya muda mrefu ya maji.