What it is like to commute by daladala in Dar
Mbagala Rangi Tatu Bus Terminal is a tidal wave of minibuses, motorcycles, trucks, shops, kiosks, hawkers, food stall owners and yelling daladala conductors. It has to be one of the most congested spots in all of the country.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DALADALA YAUA DAR
11 years ago
Habarileo31 Mar
Njia 60 za daladala Dar kusitishwa
NJIA 64 za magari ya daladala jijini Dar es Salaam zitakoma kutumika kutokana na kuanza kwa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART).
10 years ago
Mwananchi28 Feb
‘Daladala’ ya Mv Dar es Salaam kuzinduliwa
11 years ago
Habarileo04 Jun
Nauli daladala Dar kupanda
HATIMAYE picha halisi ya gharama ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, imeonesha nauli ya basi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwenda na kurudi vituo vikubwa vikiwemo vya Kariakoo na Posta, itapanda kutoka nauli ya chini ya Sh 400 ya sasa mpaka kati ya Sh 700 na Sh 800 kwa ruti moja.
11 years ago
Mwananchi11 May
Ajali ya daladala yaua wawili Dar
10 years ago
GPLMOSHI WASABABISHA DALADALA KUGONGANA DAR
11 years ago
Habarileo22 Jun
Daladala laua watu 6 Dar es Salaam
WATU sita wamekufa na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali, iliyohusisha magari manne kugongana. Yaligongana katika barabara ya Bagamoyo, eneo la njia panda ya Lugalo katika Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo23 Oct
Madereva daladala, abiria Dar walalamika
BAADHI ya abiria na madereva wa daladala katika eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam wamelalamikia kutowekwa vibao vya kuelekeza kufungwa kwa vituo vya mabasi vilivyokuwa vikitumika eneo la Ubungo baada ya kuhamishiwa kituo kipya cha mabasi cha Simu 2000.
10 years ago
GPLMGOMO WA MABASI, DALADALA WAZIDI KUTIKISA DAR