Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MOSHI WASABABISHA DALADALA KUGONGANA DAR

Umati wa watu ukijaribu kuokoa abiria waliokuwemo. Gari lililokuwa likitokea Kawe kuelekea Kariakoo likiinuliwa. Mwonekano wa gari lililodaiwa kutoa moshi na kusababisha…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MGOMO WA DALADALA DAR WASABABISHA MTAFARUKU WA USAFIRI

Wanafunzi na abiria wakisubiri daladala bila mafanikio maeneo ya Mwenge. Baadhi ya wananchi wanaotumia barabara ya Mwenge-Posta wakitembea kwenda kwenye shughuli zao. Hali…

 

11 years ago

Daily News

Daladala strike bites harder Moshi residents


Daladala strike bites harder Moshi residents
Daily News
MOSHI town was on Monday thrown in disarray as hundreds of passengers were stranded due to bus operators laying down tools in protest of traffic officers' arbitrary penalties. Bus owners introduced a surprise strike to the bewilderment of many travellers ...

 

10 years ago

Michuzi

DALADALA YAPARAMIA KIPITA SHOTO CHA YMCA,MJINI MOSHI LEO

Gari aina ya Toyota Hiace linalofanya safari yake kati ya KCMC na katikati ya mji wa Moshi likiwa katika bustani ya mzunguko wa YMCA baada ya kupitiliza toka barabarani. Sehemu ya uharibifu uliofanyika baada ya gari hilo kufeli breki na kunyoosha moja kwa moja na kugonga kingo za keep left ya YMCA.Askari wa Kikosi cha usalama barabarani wakijaribu kuangalia maeneo yaliyoaharibika baada ya gari hilo kupita katika kipita shoto hicho.Fundi mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja...

 

11 years ago

GPL

MBUZI WASABABISHA KERO KWA WAENDESHA MAGARI KAWE JIJINI DAR

Mbuzi wakiwa barabarani maeneo ya Kawe, Dar .
Gari likijaribu kumkwepa mbuzi maeneo ya Kawe, Dar.…

 

10 years ago

TheCitizen

What it is like to commute by daladala in Dar

Mbagala Rangi Tatu Bus Terminal is a tidal wave of minibuses, motorcycles, trucks, shops, kiosks, hawkers, food stall owners and yelling daladala conductors. It has to be one of the most congested spots in all of the country.

 

11 years ago

GPL

DALADALA YAUA DAR

  Gari aina ya Toyota Coaster  inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam imepata ajali mbaya leo mchana baada ya kugongana na gari lingine na kusababisha vifo vya watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 18 katika eneo la Makongo Sekondari  jijini Dar. Maiti bado zipo eneo la tukio, habari zaidi zitakujia hivi punde.!

 

10 years ago

Mwananchi

‘Daladala’ ya Mv Dar es Salaam kuzinduliwa

Waziri wa Ujenzi Dk John Magufuli amekagua safari ya kivuko cha Mv Dar es Salaam kwa mara ya kwanza hadi Bagomoyo, huku kukiwa na changamoto kadhaa miezi michache kabla ya uzinduzi rasmi wa huduma hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Nauli daladala Dar kupanda

 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tamisemi, Jumanne Sagini,HATIMAYE picha halisi ya gharama ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, imeonesha nauli ya basi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwenda na kurudi vituo vikubwa vikiwemo vya Kariakoo na Posta, itapanda kutoka nauli ya chini ya Sh 400 ya sasa mpaka kati ya Sh 700 na Sh 800 kwa ruti moja.

 

11 years ago

Habarileo

Njia 60 za daladala Dar kusitishwa

NJIA 64 za magari ya daladala jijini Dar es Salaam zitakoma kutumika kutokana na kuanza kwa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani