Daladala zarejesha huduma Arusha
DALADALA zilizokuwa zimegoma kutoa huduma za usafiri maeneo mbalimbali jijini Arusha, zimerejea kutoa huduma zake huku nyingine zikionekana kuweka alama za mstari maalum za kuonesha njia walizopangiwa kupita.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDALADALA WAGOMA KUTOA HUDUMA JIJINI ARUSHA LEO
Waendesha Daladala jijini Arusha,leo wamefanya mgomo wa kutoa huduma ya kusafirisha abiria katika maeneo mbali mbali ya mji huo kwa kile kinachodaiwa kugomea kuanzishwa kwa route mpya wanayotakiwa kuianza hivi sasa.
Wakazi wa maeneo mengi ya jiji hilo wanalazimika kutembea kwa miguu,huku wengine wenye uwezo kidogo wakitumia usafiri wa bodaboda ili kuwahi katika shughuli zao za kuendelea kujitafutia chochote.Askari Polisi na migambo wamesambaa kona za njia zote jijini Arusha.
Route zenye...
Wakazi wa maeneo mengi ya jiji hilo wanalazimika kutembea kwa miguu,huku wengine wenye uwezo kidogo wakitumia usafiri wa bodaboda ili kuwahi katika shughuli zao za kuendelea kujitafutia chochote.Askari Polisi na migambo wamesambaa kona za njia zote jijini Arusha.
Route zenye...
10 years ago
GPLMADEREVA DALADALA WAGOMA KUTOA HUDUMA JIJINI ARUSHA LEO
(Baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye lori kutokana na mgomo wa daladala. Picha na Maktaba Yetu) MADEREVA Daladala jijini Arusha,leo wamefanya mgomo wa kutoa huduma ya kusafirisha abiria katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo kwa kile kinachodaiwa kugomea kuanzishwa kwa safari mpya wanayotakiwa kuianza hivi sasa. Wakazi wa maeneo mengi ya jiji hilo wanalazimika kutembea kwa miguu, huku wengine wenye uwezo kidogo wakitumia usafiri wa...
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mgomo wa daladala watikisa Arusha
Mgomo wa mabasi yanayofanya safari zake kati ya Moshi na Arusha, jana ulitikisa miji hiyo kwa saa nane mfululizo, huku baadhi ya daladala za katikati ya Mji wa Moshi nazo zikishiriki mgomo huo.
5 years ago
MichuziBILIONI 2.2 ZAREJESHA USAFIRI WA KIVUKO KWA WANANCHI WA KITUNDA NA MANISPAA YA LINDI
Kivuko cha M.V Kitunda kikiendelea kutoa huduma za usafiri wa abiria, mizigo na magari katika Manispaa ya Lindi kama kilivyokutwa na kamera ya Idara ya Habari MAELEZO hivi karibuni.
Na Mwandishi WetuSEKTA ya Uchukuzi inatoa mchango mkubwa katika shughuli za maendeleo ya uchumi na pia ni mwezeshaji mkubwa wa sekta za uzalishaji, biashara na usambazaji wa bidhaa na huduma katika soko la kitaifa na kimataifa.
Usafirishaji wa bidhaa na huduma katika masoko, hutegemea zaidi mfumo wa uchukuzi wenye...
10 years ago
Vijimambo13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SIMU2000
Manispaa ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, imedhihirisha jitihada zake za kwenda na wakati katika huduma zake, baada ya kuamua kutoa huduma ya bure ya mtandao wa intrenet wa WiFi kwenye Kituo kipya cha Mabasi cha Sinza, jijini Dar es Salaam.
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
10 years ago
Michuzi13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SINZA
Manispaa ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, imedhihirisha jitihada zake za kwenda na wakati katika huduma zake, baada ya kuamua kutoa huduma ya bure ya mtandao wa intrenet wa WiFi kwenye Kituo kipya cha Mabasi cha Sinza, jijini Dar es Salaam.
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
10 years ago
MichuziAIRTEL YAZINDUA MNARA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO ARUMERU WILAYANI ARUSHA
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha , Fidelis Lumato akikata utepekuzindua mnara wa mawasiliano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtelkatika kijiji cha Nduruma, wilayani Arumeru Mkoani Arusha ,akishuhudia ni Meneja wa Kanda ya Kaskazini wa Airtel, BrightonMajwala. Meneja wa Kanda ya Kaskazini wa Airtel, Brighton Majwala akitoa msaadawa vitabu Mwalimu mkuu msaidizi wa shule ya sekondari Singisi , HamadBoay , wakati wa uzinduzi wa huduma manara wa huduma za mawasiliano wakampuni ya simu za...
10 years ago
Michuzi21 Apr
MADAKTARI BINGWA KUTOKA INDIA WATOA HUDUMA YA MATIBABU JIJINI ARUSHA
MADAKTARI bingwa kutoka hospitali ya SPS Apollo iliyopo Ludhiananchini India wamewasili nchini na kuanza kutoa huduma ya ushauri burekwa magonjwa makubwa ambayo yamekuwa yakiwasumbua watu wengi nakuwalazimu kwenda kutibiwa nchini India.
Akizungumza na waandishi wa habari katika kituo cha kutoa huduma kwamatibabu Arusha, Austin Makani alisema kuwa , madaktari bingwa haowanatoa ushauri kwa wagonjwa wenye matatizo ya Figo , Moyo, tumbo,saratani, mishipa ya fahamu, uti wa mgongo, upasuaji wa...
Akizungumza na waandishi wa habari katika kituo cha kutoa huduma kwamatibabu Arusha, Austin Makani alisema kuwa , madaktari bingwa haowanatoa ushauri kwa wagonjwa wenye matatizo ya Figo , Moyo, tumbo,saratani, mishipa ya fahamu, uti wa mgongo, upasuaji wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania