Mwijage: Siridhishwi na mradi wa usambazaji umeme vijijini
Na Happiness Mtweve,Dodoma
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage, amesema haridhishwi na utekelezaji wa mradi wa usambazaji wa umeme vijijini.
Mwijage, ambaye alikaa ofisini kwa siku tatu baada ya kuteuliwa, alisema hayo jana wakati akijibu maswali ya nyongeza ya mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Shabiby.
Alisema mpaka sasa utekelezaji wa usambazaji umeme katika mkoa wa Manyara ni asilimia sita, Pwani asilimia 22 na Kagera asilimia 52, kasi ambayo bado ni ndogo.
Mwijage alisema...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMh. Mwijage azindua mradi wa Umeme Kanda ya Kusini
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage ameanza rasmi ziara ya kikazi katika kanda ya kusini ambapo ameanza ziara hiyo kwa kuzindua rasmi transfoma yenye uwezo wa 50KVA itakayohudumia wateja 200 katika kijiji cha Maguvani wilaya ya Wanging'ombe mkoani Njombe.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) katika wilaya ya kitanesco ya Makambako, Mhandisi Abdulrahman Nyenye, amesema kuwa uzinduzi wa mradi huo ni kielelezo cha...
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Serikali yaitaka Spencon kumaliza kazi ya usambazaji umeme vijijini kwa muda sahihi
Msafara wa Naibu Waziri Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani ukikagua ujenzi wa kituo kipya cha mjini Singida cha kutawanya umeme kilovoti 400 wa gridi kutoka nchini Kenya na Tanzania. Kituo hicho kitasambaza umeme kutoka Singida kwenda mkoa wa Iringa na Shinyanga.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (wa kwanza kushoto mwenye miwani) akizungumza na maafisa kutoka ofisi na madini kanda ya kati mkoa wa Singida na wa wilaya ya Manyoni, kwenye ofisi ya Mkuu wa wa wilaya...
10 years ago
MichuziMwijage azindua mradi wa umeme uliobuniwa na wananchi kijiji cha Lilondo mkoani Ruvuma
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amezindua mradi wa umeme wa kiasi cha kilowati 40 uliobuniwa na wananchi katika kijiji cha Lilondo, wilaya ya Songea Vijijini, mkoani Ruvuma ambapo jumla ya nyumba 100 zimeshafaidika kwa kuunganishwa na huduma ya umeme.
Akiwa ameambatana na mbunge wa Jimbo la Peramiho ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama, Naibu waziri Mwijage, alitembelea na kukagua mitambo pamoja na...
10 years ago
MichuziREA KUHUSISHA SEKTA BINAFSI PAMOJA NA BENKI NCHINI ILI KUONGEZA KASI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI
Hatua hiyo itasaidia kuleta maendeleo ya haraka na kufikisha umeme katika maeneo ya vijijini katika maeneo mengi hapa nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es salaam na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava wakati akiongea katika kikao kilichohusisha Bodi ya Wakala wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3r6pqfzid3E/XveOzwX3bII/AAAAAAALvsE/a3TkVt6LXZICyiz-V0g-LSULiwGtEXwMACLcBGAsYHQ/s72-c/2-2-2.jpg)
DKT KALEMANI AFANYA ZIARA YA NYUMBA KWA NYUMBA KUKAGUA KAZI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI WILAYANI MISUNGWI Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-3r6pqfzid3E/XveOzwX3bII/AAAAAAALvsE/a3TkVt6LXZICyiz-V0g-LSULiwGtEXwMACLcBGAsYHQ/s640/2-2-2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3AAA-4-1024x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4AAA-3.jpg)
10 years ago
Habarileo27 Jan
Simbachawene, Mwijage wasema watasambaza umeme kwa kasi
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene na Naibu wake, Charles Mwijage waliripoti katika ofisi zao mpya jana na kuahidi kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na kuhakikisha wanasambaza umeme vijijini kwa kasi.
9 years ago
MichuziMwijage akagua miradi ya umeme pembeni mwa bomba la Gesi
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini Awamu ya Pili inayotekelezwa pembeni ya bomba kubwa la gesi katika mkoa wa Mtwara.
Pamoja na kukagua miradi hiyo inayofadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na kutekelezwa na shirika la Umeme nchini (TANESCO), Naibu Waziri pia amekagua maendeleo ya kituo cha kuchakata gesi kilichopo kijiji cha Madimba katika mkoa wa Mtwara.
Katika ziara hiyo Mwijage...
11 years ago
Habarileo20 Jul
Serikali yavuka lengo usambazaji umeme
SERIKALI imekiomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuipangia upya malengo ya kusambaza umeme kwa wananchi kwa sababu malengo yaliyopangwa katika Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa 2010 yamefikiwa na kupitwa hata kabla ya kumalizika kipindi cha miaka mitano.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PZVUHzKZqZc/XlTx7eKbYQI/AAAAAAALfNk/BEPLF--6Q-07uBza0KcV5KCMU3Dz1ObnQCLcBGAsYHQ/s72-c/f65321cf-c7c2-4f72-a715-a945ddc987fd.jpg)
NAIBU WAZIRI ARIDHISHWA NA KASI YA USAMBAZAJI UMEME KWENYE TAASISI ZA UMMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PZVUHzKZqZc/XlTx7eKbYQI/AAAAAAALfNk/BEPLF--6Q-07uBza0KcV5KCMU3Dz1ObnQCLcBGAsYHQ/s640/f65321cf-c7c2-4f72-a715-a945ddc987fd.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/f85eba1f-68c0-46bb-a08d-de33611ff0f9.jpg)