REA KUHUSISHA SEKTA BINAFSI PAMOJA NA BENKI NCHINI ILI KUONGEZA KASI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI
Na Benedict John-MAELEZO-Dar es salaam Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeadhimia kuhusisha Sekta binafsi pamoja na benki nchini ili kuongeza kasi ya usambazaji umeme Vijijini.
Hatua hiyo itasaidia kuleta maendeleo ya haraka na kufikisha umeme katika maeneo ya vijijini katika maeneo mengi hapa nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es salaam na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava wakati akiongea katika kikao kilichohusisha Bodi ya Wakala wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziREA YATAKA WAKANDARASI NCHINI KUMALIZA KAZI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI KWA WAKATI
10 years ago
MichuziBARAZA LA BIASHARA MKOA WA DODOMA LASISITIZA USHIRIKIANO BAINA YA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI ILI KUONGEZA FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUKUZA UCHUMI WA DODOMA
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
Tanesco kushirikiana na REA kupeleka umeme vijijini
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mhangwa Kitwanga, akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kayui kata ya Mitundu jimbo la Manyoni magharibi.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
SERIKALI imeliagiza shirika la TANESCO lishirikiane na REA,kufanya usanifu wa kina juu ya gharama halisi ya utoaji wa huduma ya umeme katika kila kijiji nchini ili kuijengea mazingira mazuri serikali iweze kufahamu kiasi cha fedha kitakachokidhi mahitaji.
Agizo hilo limetolewa hivi karibuni na Naibu Waziri wa...
10 years ago
Uhuru Newspaper29 Jan
Mwijage: Siridhishwi na mradi wa usambazaji umeme vijijini
Na Happiness Mtweve,Dodoma
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage, amesema haridhishwi na utekelezaji wa mradi wa usambazaji wa umeme vijijini.
Mwijage, ambaye alikaa ofisini kwa siku tatu baada ya kuteuliwa, alisema hayo jana wakati akijibu maswali ya nyongeza ya mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Shabiby.
Alisema mpaka sasa utekelezaji wa usambazaji umeme katika mkoa wa Manyara ni asilimia sita, Pwani asilimia 22 na Kagera asilimia 52, kasi ambayo bado ni ndogo.
Mwijage alisema...
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Serikali yaitaka Spencon kumaliza kazi ya usambazaji umeme vijijini kwa muda sahihi
Msafara wa Naibu Waziri Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani ukikagua ujenzi wa kituo kipya cha mjini Singida cha kutawanya umeme kilovoti 400 wa gridi kutoka nchini Kenya na Tanzania. Kituo hicho kitasambaza umeme kutoka Singida kwenda mkoa wa Iringa na Shinyanga.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (wa kwanza kushoto mwenye miwani) akizungumza na maafisa kutoka ofisi na madini kanda ya kati mkoa wa Singida na wa wilaya ya Manyoni, kwenye ofisi ya Mkuu wa wa wilaya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PZVUHzKZqZc/XlTx7eKbYQI/AAAAAAALfNk/BEPLF--6Q-07uBza0KcV5KCMU3Dz1ObnQCLcBGAsYHQ/s72-c/f65321cf-c7c2-4f72-a715-a945ddc987fd.jpg)
NAIBU WAZIRI ARIDHISHWA NA KASI YA USAMBAZAJI UMEME KWENYE TAASISI ZA UMMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PZVUHzKZqZc/XlTx7eKbYQI/AAAAAAALfNk/BEPLF--6Q-07uBza0KcV5KCMU3Dz1ObnQCLcBGAsYHQ/s640/f65321cf-c7c2-4f72-a715-a945ddc987fd.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/f85eba1f-68c0-46bb-a08d-de33611ff0f9.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wrLkZt76zD4/VToJnyL3WII/AAAAAAAHS4c/PfhX6OIwn1Y/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Tanzania kuboresha Miundombinu yake ili kuongeza kasi ya Uwekezaji
![](http://3.bp.blogspot.com/-wrLkZt76zD4/VToJnyL3WII/AAAAAAAHS4c/PfhX6OIwn1Y/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-D2ZOysWUZUE/VToJn7-DcqI/AAAAAAAHS4g/PgbVaEiris8/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
11 years ago
Mwananchi22 May
Sekta binafsi yalilia mitaji ya masharti nafuu ili kujiimarisha
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3r6pqfzid3E/XveOzwX3bII/AAAAAAALvsE/a3TkVt6LXZICyiz-V0g-LSULiwGtEXwMACLcBGAsYHQ/s72-c/2-2-2.jpg)
DKT KALEMANI AFANYA ZIARA YA NYUMBA KWA NYUMBA KUKAGUA KAZI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI WILAYANI MISUNGWI Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-3r6pqfzid3E/XveOzwX3bII/AAAAAAALvsE/a3TkVt6LXZICyiz-V0g-LSULiwGtEXwMACLcBGAsYHQ/s640/2-2-2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3AAA-4-1024x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4AAA-3.jpg)