Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bil 4/- kuboresha barabara Dar

Waziri Mkuu, Mizengo PindaSHILINGI bilioni nne zinatarajiwa kuanza kutumika kurekebisha maeneo korofi yaliyoharibiwa na mafuriko yaliyotokea jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bil. 78/- kuboresha miundombinu Chalinze

SERIKALI inatarajia kutumia sh bilioni 78.4 kuboresha miundombinu ya maji katika mji wa Chalinze na vitongoji vyake kupitia mradi wa maji Wami-Chalinze. Hayo yalibainishwa na Meneja wa Mamlaka ya Maji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bil. 279/- kuboresha daftari la wapigakura

TUME ya Taifa ya Uchaguzi imesema imeanza mchakato wa kuboresha daftari la wapigakura, ili liweze kutumika kwenye upigaji kura ya maoni ya katiba mpya. Uboreshaji huo unatarajiwa kutumia zaidi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ridhiwani aahidi kuboresha barabara

MGOMBEA ubunge wa Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Ridhiwani Kikwete, amesema endapo atachaguliwa kuliongoza jimbo hilo atahakikisha anaboresha miundonbinu ya barabara. Ridhiwani alitoa kauli hiyo juzi wakati akihutubia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barabara Mpanda-Misamo yatengewa bil. 4.5/-

SHILINGI bilioni 4.5 zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara ya Mpanda hadi Mishamo kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilomita 100. Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miradi ya barabara Tabora kugharimu bil. 13/-

MKOA wa Tabora unatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni 13 katika kutekeleza miradi ya barabara kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014. Akisoma taarifa yake kwenye kikao cha Bodi ya Barabara,...

 

11 years ago

Habarileo

Tabora kutumia bil 13.1/- kwa barabara

MKOA wa Tabora unatarajia kutumia kiasi cha Sh 13,154,098,000 katika kutekeleza miradi ya barabara kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014.

 

10 years ago

Dewji Blog

TANROADS Singida yatumia Shilingi bil 1.2 /- kutengeneza barabara

DSC02592

Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Eng.Leonard Kapongo,akitoa ufafanuzi juu ya matengenezo ya barabara za ngazi ya mkoa,kwenye kikao cha 37 cha bodi ya barabara kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training Centre mjini Singida.

Na Nathaniel Limu, Singida

WAKALA  wa barabara TANROADS Mkoa wa Sigida imetumia zaidi ya shilingi 1.2 bilioni  kugharamia matengenezo ya kawaida kwa barabara kuu yenye urefu wa kilometa 589.2 kati ya Aprili na Juni mwaka huu.

Hayo  yamesemwa na...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI LUDEWA WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA

Na Amiri Kilagalila,Njombe. Wananchi wa kitongoji cha Mking’ino kijiji cha Luvuyo kata ya Madope wilayani Ludewa mkoani Njombe wameiomba serikali kuboresha miundombinu ya barabara inayounganisha kijiji chao na vijiji  jirani ili kurahisisha upatikanaji wa huduma mbalimbali za kijamii. Wakazi hao akiwemo Erasto Mtega, Junitha Mbukwa na Stia Chaula wamesema asilimia kubwa ya wakazi wa eneo hilo ni wakulima wa mazao ya viazi mviringo na mahindi lakini changamoto ya ubovu wa barabara inawalazimu...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WAJITOKEZA KUBORESHA BARABARA KWAKUTUMIA ZANA ZA MIKONO WILAYANI LUDEWA


Na Amiri kilagalila,NjombeWANANCHI wa kijiji na kata ya Ibumi wilayani Ludewa mkoa wa Njombe  wamejitokeza kwa wingi wakiwa na zana za mikono kwenda kurekebisha barabara ya kutoka Ibumi kuelekea Ludewa mjini.
Barabara hiyo inayounganisha kata za Ibumi na Ludewa imeharibika zaidi katika eneo la mlima Nyamikuyu na eneo la mto ketewaka na madenge hasa katika kipindi hiki cha masika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.
Zoezi la harambee ya kurekebisha barabara hiyo kwa kutumia majembe,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani