Bil 4/- kuboresha barabara Dar
SHILINGI bilioni nne zinatarajiwa kuanza kutumika kurekebisha maeneo korofi yaliyoharibiwa na mafuriko yaliyotokea jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Bil. 78/- kuboresha miundombinu Chalinze
SERIKALI inatarajia kutumia sh bilioni 78.4 kuboresha miundombinu ya maji katika mji wa Chalinze na vitongoji vyake kupitia mradi wa maji Wami-Chalinze. Hayo yalibainishwa na Meneja wa Mamlaka ya Maji...
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Bil. 279/- kuboresha daftari la wapigakura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi imesema imeanza mchakato wa kuboresha daftari la wapigakura, ili liweze kutumika kwenye upigaji kura ya maoni ya katiba mpya. Uboreshaji huo unatarajiwa kutumia zaidi ya...
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Ridhiwani aahidi kuboresha barabara
MGOMBEA ubunge wa Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Ridhiwani Kikwete, amesema endapo atachaguliwa kuliongoza jimbo hilo atahakikisha anaboresha miundonbinu ya barabara. Ridhiwani alitoa kauli hiyo juzi wakati akihutubia...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Barabara Mpanda-Misamo yatengewa bil. 4.5/-
SHILINGI bilioni 4.5 zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara ya Mpanda hadi Mishamo kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilomita 100. Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge,...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Miradi ya barabara Tabora kugharimu bil. 13/-
MKOA wa Tabora unatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni 13 katika kutekeleza miradi ya barabara kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014. Akisoma taarifa yake kwenye kikao cha Bodi ya Barabara,...
11 years ago
Habarileo11 Jan
Tabora kutumia bil 13.1/- kwa barabara
MKOA wa Tabora unatarajia kutumia kiasi cha Sh 13,154,098,000 katika kutekeleza miradi ya barabara kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014.
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
TANROADS Singida yatumia Shilingi bil 1.2 /- kutengeneza barabara
Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Eng.Leonard Kapongo,akitoa ufafanuzi juu ya matengenezo ya barabara za ngazi ya mkoa,kwenye kikao cha 37 cha bodi ya barabara kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training Centre mjini Singida.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKALA wa barabara TANROADS Mkoa wa Sigida imetumia zaidi ya shilingi 1.2 bilioni kugharamia matengenezo ya kawaida kwa barabara kuu yenye urefu wa kilometa 589.2 kati ya Aprili na Juni mwaka huu.
Hayo yamesemwa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LOCpssTMyE0/Xut7m2rC8vI/AAAAAAALue8/pyZjmKmU154tziMn--gUugiCc7DKnVQBQCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
WANANCHI LUDEWA WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gw_GfU9R_Kk/XkayoFm171I/AAAAAAALdaU/36eD_PFC6nMdhougDHhbIm42igX1cC8DwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200213-WA0121.jpg)
WANANCHI WAJITOKEZA KUBORESHA BARABARA KWAKUTUMIA ZANA ZA MIKONO WILAYANI LUDEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gw_GfU9R_Kk/XkayoFm171I/AAAAAAALdaU/36eD_PFC6nMdhougDHhbIm42igX1cC8DwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200213-WA0121.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-VBUc6wTNi-A/XkayoH8sI3I/AAAAAAALdaQ/AsCDMKwRcNU-ABsV5T8hw7xL6SrfYYQKwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200213-WA0125.jpg)
Barabara hiyo inayounganisha kata za Ibumi na Ludewa imeharibika zaidi katika eneo la mlima Nyamikuyu na eneo la mto ketewaka na madenge hasa katika kipindi hiki cha masika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.
Zoezi la harambee ya kurekebisha barabara hiyo kwa kutumia majembe,...