Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yapeleka wanajeshi wake mpakani na Msumbiji

Serikali yasema hatua hiyo ni ya kujilinda.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

UN yapeleka maafisa wake nchini Burundi

Baraza la usalama la umoja wa mataifa limeunga mkono mpango wa kutuma maafisa wake wa ngazi ya juu nchini Burundi kuokoa jahazi.

 

10 years ago

Michuzi

MAANDALIZI YA KILIMANJARO MARATHONI YAPAMBA MOTO,KLABU YA RIADHA YA HOLILI YAPELEKA WANARIADHA WAKE MAZOEZINI KENYA

Mkurugenzi wa klabu ya riadha ya Holili (HYAC) Domician Genand akizungumza juu ya maandalizi ya mbio za kimataifa za Kilimanjaro Maratahoni kwa wanariadha wake ambao baadhi yao amewapeleka nchini Kenya kwa ajili ya mazoezi.Baadhi ya wanariadha walioko katika kambi ya klabu ya riadha ya Holili wakicheza Draft ambapo miongoni mwao yumo mkimbiaji wa Kimataifa ,Osward Levelian ambaye anajiandaa na Mbio za Marathoni kilometa 42 zitakazofanyika nchini Nchina hivi karibuni.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

BBCSwahili

Sunderland FC yapeleka neema Tanzania

Rais Jakaya Kikwete amezindua ujenzi wa kituo cha vijana cha michezoambacho kimefadhiliwa na Sunderlland na Symbion.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yapeleka vipimo vya ebola Nairobi

>Vipimo vya mgonjwa aliyetoka nchini Senegal na kuwekwa kwenye karantini mjini Moshi kwa tahadhari ya ebola, baada ya kukaa nchini kwa siku 14 vimepelekwa katika maabara ya jijini  Nairobi nchini Kenya kwa uchunguzi.

 

11 years ago

CloudsFM

NDEGE YA MALAWI YAZUA HOFU MPAKANI MWA TANZANIA

“Kwa kuzingatia uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Malawi, naomba mwongozo wako maana ndege za nchi hii sasa zinaingia hadi Tanzania na kuwatia hofu wananchi,” alisema Mbunge wa Ileje,Aliko Kibona.Kauli ya mbunge huyo imekuja wakati msimamo rais wa Malawi, Profesa Peter Mutharika kuhusu mzozo uliopo kati ya nchi hiyo na Tanzania kuhusu Ziwa Nyasa ukiwekwa bayana hatakuwa na mjadala kuhusu mpaka wa nchi hizo akidai kuwa Ziwa Nyasa ni la Malawi pekee.Kibona alisema kwa takriban wiki mbili...

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram:Wake wa Wanajeshi waandamana

Wake wa wanajeshi waandamana katika mji wa Maiduguri kupinga waume wao kutumwa Gwoza kukabili Boko haram.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yatuma wanajeshi wake Chad

Wanajeshi 80 wametumwa Chad kusaidia kuwatafuta na kuwaokoa takriban wasichana 200 waliotekwa nyara nchini Nigeria na Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza kutuma wanajeshi wake Somalia

Uingereza imetangaza kwamba itawatuma wanajeshi wake Somalia kusaidia wanajeshi wa Muungano wa Afrika wanaolinda amani huko.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yawaondoa wanajeshi wake Yemen

Wizara ya mashauri ya kigeni Marekani imethibitisha kuwa wanajeshi wote wa Marekani waliokuwa wamebaki nchini Yemen wamondolewa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani