JWT wapeleka majina kuunda kamati
UONGOZI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) kesho utapeleka kwa Waziri wa Fedha majina matano yaliyopendekezwa kuunda kamati ya watu 10 baina yao na Mamlaka ya Mapato (TRA) yenye lengo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Mar
Halmashauri zatakiwa kuunda kamati za nishati
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene amezindua mradi wa umeme katika kijiji cha Idanda wilayani Chato mkoani Geita huku akiwataka viongozi wa halmashauri nchini kuunda kamati za nishati.
10 years ago
StarTV23 Feb
Mganga Mkuu Lindi aagizwa kuunda kamati za Dawa.
Na Joseph Mpangala,
Lindi.
Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mwantumu Mahiza amemuagiza Mganga Mkuu wa Mkoa huo kuhakikisha anaunda kamati za Dawa kwa kila kituo cha afya kinachokuwa na wachangiaji wa mifuko wa bima ya Afya.
Hatua hiyo itapunguza lawama zinazokwenda kwa wafanyakazi wa vituo vya afya kuwa wanaondoka na dawa za wananchi na kuzifanyia biashara pamoja na kupata idadi sahihi ya kiasi cha vifaa vya matibabu vinavyoletwa vituoni na matumizi yake.
Mwantumu Mahiza anasema ktika...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/CCM-1.jpg)
KAMATI KUU CCM YAPITISHA MAJINA 3 YA USPIKA
9 years ago
StarTV16 Nov
Kamati kuu CCM yapitisha majina matatu kati ya 21
Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM imepitisha majina matatu kati ya 21 ya wagombea waliojitokeza kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea kiti cha Spika katika Bunge la 11.
Kikao hicho cha kamati kuu kimeongozwa na mwenyekiti wa chama hicho taifa Dokta Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma.
katika uwanja wa ndege wa Dodoma mwenyekiti Taifa wa chama cha mapinduzi CCM ambaye ni rais mstafuu Dk. Jakaya mrisho Kikwete akiwasili na kulakiwa na baadhi ya viongozi na wanachama wa chama hicho...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s72-c/MMGL0620.jpg)
VIDEO: NAPE ATHIBITISHA MAJINA MATANO BORA YALIYOPITISHWA NA KAMATI KUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s640/MMGL0620.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-JL4_u7hcbVI/VaBYHsn52QI/AAAAAAABjHE/2jaRnN-nA2E/s72-c/IMG_7984.jpg)
VIDEO: NAPE AFUNGUKA KUHUSU MAJINA MATANO BORA YALIYOPITISHWA NA KAMATI KUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-JL4_u7hcbVI/VaBYHsn52QI/AAAAAAABjHE/2jaRnN-nA2E/s640/IMG_7984.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rK-NDid3rmY/VXB3IUvsUwI/AAAAAAAAvIU/qGqyD16Bo8M/s72-c/necc.jpg)
Hii Ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM, itakayopitisha Majina Matano ya Wagombea Urais
![](http://4.bp.blogspot.com/-rK-NDid3rmY/VXB3IUvsUwI/AAAAAAAAvIU/qGqyD16Bo8M/s640/necc.jpg)
Hii ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM itakayopitisha majina matano ya wagombea uraisi kwa ajili ya kupigiwa kura na NEC kupata mgombea mmoja.1. Jakaya Mrisho Kikwete
2. Dr. Ally Mohamed Shein
3. Phillip Japhet Mangula
4. Abdulrahman Kinana
6. Dr. Mohamed Ghalib Bilal
7. Mizengo Kayanza Peter Pinda8. Balozi Seif Ali Iddi
9. Anna Semamba Makinda
10. Pandu Amir Kificho
11. Rajab Luhwavi
12. Vuai Ali Vuai
13. Nape Moses Nnauye
14. Mohammed Seif Khatibu
15. Zakhia Hamdan Meghji
16. Asha Rose Migiro
17. Sophia...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VQ67_j7lens/UzJMLnpouAI/AAAAAAACdcc/qNbr7BJegtc/s72-c/a652Samuel-Sitta.jpg)
SITTA ATANGAZA MAJINA YA WENYEVITI NA MAKAMU WENYEVITI KAMATI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-VQ67_j7lens/UzJMLnpouAI/AAAAAAACdcc/qNbr7BJegtc/s1600/a652Samuel-Sitta.jpg)