Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JWT wapeleka majina kuunda kamati

UONGOZI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) kesho utapeleka kwa Waziri wa Fedha majina matano yaliyopendekezwa kuunda kamati ya watu 10 baina yao na Mamlaka ya Mapato (TRA) yenye lengo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Halmashauri zatakiwa kuunda kamati za nishati

George SimbachaweneWAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene amezindua mradi wa umeme katika kijiji cha Idanda wilayani Chato mkoani Geita huku akiwataka viongozi wa halmashauri nchini kuunda kamati za nishati.

 

10 years ago

StarTV

Mganga Mkuu Lindi aagizwa kuunda kamati za Dawa.

Na Joseph Mpangala,

Lindi.

 

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mwantumu Mahiza amemuagiza Mganga Mkuu wa Mkoa huo kuhakikisha anaunda kamati za Dawa kwa kila kituo cha afya kinachokuwa na wachangiaji wa mifuko wa bima ya Afya.

 

Hatua hiyo itapunguza lawama zinazokwenda kwa wafanyakazi wa vituo vya afya kuwa wanaondoka na dawa za wananchi na kuzifanyia biashara pamoja na kupata idadi sahihi ya kiasi cha vifaa vya matibabu vinavyoletwa vituoni   na matumizi yake.

 

Mwantumu Mahiza anasema ktika...

 

9 years ago

GPL

KAMATI KUU CCM YAPITISHA MAJINA 3 YA USPIKA

KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi leo imewapitisha  Ndugu Job Ndugai, Ndugu Abdullah Ali Mwinyi na Dk. Tulia Ackson Mwansasu kugombea nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kikao cha kupitisha majina hayo kimefanyika katika ukumbi wa makao makuu ya chama hicho mkoani Dodoma kikiongozwa na Mwenyekiti wake ambaye ni Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dk. Jakaya Kikwete.… ...

 

9 years ago

StarTV

Kamati kuu CCM yapitisha majina matatu kati ya 21

Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM imepitisha majina matatu kati ya 21 ya wagombea waliojitokeza kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea kiti cha Spika katika Bunge la 11.

Kikao hicho cha kamati kuu kimeongozwa na mwenyekiti wa chama hicho taifa Dokta Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma.

katika uwanja wa ndege wa Dodoma mwenyekiti Taifa  wa chama cha mapinduzi CCM ambaye ni rais mstafuu Dk. Jakaya mrisho Kikwete akiwasili na kulakiwa na baadhi ya viongozi na wanachama wa chama hicho...

 

10 years ago

Vijimambo

VIDEO: NAPE ATHIBITISHA MAJINA MATANO BORA YALIYOPITISHWA NA KAMATI KUU

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari asubuhi hii nje ya Ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM Mjini Dodoma, akithibitisha taarifa iliyokuwa ikizagaa mitandaoni ya Wagombea Urais walioingia katika hatua ya tano bora, ambao aliwataja kuwa ni Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje, Mh. Bernard Membe, Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli, Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Asha-Rose Migiro, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Mh....

 

10 years ago

Vijimambo

VIDEO: NAPE AFUNGUKA KUHUSU MAJINA MATANO BORA YALIYOPITISHWA NA KAMATI KUU

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye akiongea na waaandishi wa habari mara baada ya kutoka kikao cha Kamati kuu. Picha na Kajunason Blog

 

10 years ago

Vijimambo

Hii Ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM, itakayopitisha Majina Matano ya Wagombea Urais


Hii ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM itakayopitisha majina matano ya wagombea uraisi kwa ajili ya kupigiwa kura na NEC kupata mgombea mmoja.1. Jakaya Mrisho Kikwete
2. Dr. Ally Mohamed Shein
3. Phillip Japhet Mangula
4. Abdulrahman Kinana
6. Dr. Mohamed Ghalib Bilal
7. Mizengo Kayanza Peter Pinda8. Balozi Seif Ali Iddi
9. Anna Semamba Makinda
10. Pandu Amir Kificho
11. Rajab Luhwavi
12. Vuai Ali Vuai
13. Nape Moses Nnauye
14. Mohammed Seif Khatibu
15. Zakhia Hamdan Meghji
16. Asha Rose Migiro
17. Sophia...

 

11 years ago

Michuzi

SITTA ATANGAZA MAJINA YA WENYEVITI NA MAKAMU WENYEVITI KAMATI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

N a Magreth Kinabo ,Dodoma Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba,Mhe. Samwel Sitta leo (jana), ametangaza majina ya wenyeviti na makamu wenyeviti wa Kamati za bunge hilo.  Majina hayo yametangazwa na Mwenyekiti huyo  baada ya uchaguzi wa viiongozi hao uliofanyika  (jana) Machi 24 , mwaka  2014 mjini  Dodoma . Mwenyekiti ametangaza majina haya baada ya kuunda kamati hizo  jana kwa mujibu wa kanuni ya 54 (1) ya kanuni za Bunge Maalum za Mwaka 2014 ambazo zimetungwa chini ya kifungu cha 26...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani