KATIBU WA CHADEMA KANDA YA KASKANI AKIZINDUA MPANGO WA KUICHANGIA CHADEMA

Katibu wa CHADEMA kanda ya Kaskazini Amani Golugwa akifafanua jambo
kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Uzinduzi wa mpango wa
kuchangia Chadema kwa kutumia simu za mikononi kukiwezesha chama hicho kushinda uchaguzi mkuu wa mwaka huu.Picha na mahmoud ahmad
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA APEWA UCHIFU WA MKOA WA DAR ES SALAAM NA WAZEE WA KANDA YA PWANI
Wazee wa Kimila Ali Mahita Mwinyikambi (kulia) na Athumani Rajab Uloleulole kwa niaba ya Wazee wa Pwani wakimtazama Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Willibroad Slaa baada ya kumvisha nguo za kimila na kumkabidhi silaha za jadi ikiwa ni ishara ya kumtawaza kuwa Chifu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani na kumpatia jina la Chifu Mwinyikambi
10 years ago
Vijimambo12 Nov
KATIBU WA CHADEMA DMV, MAREKANI, ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA CHADEMA TANZANIA
Katibu wa tawi la CHADEMA DMV, Marekani, Ndugu Liberatus Mwang'ombe amefanya ziara ya kutembelea makao makuu ya CHADEMA jijini Dar Es Salaam.
Katika ziara hiyo Ndugu Liberatus Mwang'ombe aliweza kufanya mkutano na Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa na mratibu wa mambo ya wabunge wa CHADEMA, Ndugu John Mrema.
Ndg. Liberatus Mwang'ombe alipata fursa ya kujadiliana mambo mbalimbali na Katibu mkuu wa CHADEMA Taifa Dr Wilbroad Slaa hosusani changamoto zinazo wakabili Watanzania kwa ujumla na...
11 years ago
GPL
KIONGOZI WA CHADEMA KANDA YA MAGHARIBI ASHAMBULIWA
10 years ago
Raia Mwema23 Sep
CCM, Chadema hapatoshi Kanda ya Ziwa
HEKAHEKA za kampeni za Uchaguzi Mkuu zimeendelea kushika kasi katika Kanda ya Ziwa ambapo mchuano
Christopher Gamaina
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Kilio cha Chadema kuhujumiwa Kanda ya Ziwa
11 years ago
GPL
CHADEMA YATANGAZA WAGOMBEA WA UDIWANI KANDA YA KASKAZINI
10 years ago
StarTV03 Nov
Polisi Kanda maalum Dar yapiga marufuku maandano ya Chadema. Â
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam limezuia maandamano ya wananchama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) yasiyo kuwa na kikomo kwasababu ni kinyume na sheria.
Maandamano ya wafuasi wa CHADEMA yalipangwa kufanyika kuanzia Novemba 3 mwaka huu katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar Es Salaam kudai uporwaji wa Demokrasia dhidi ya mgombea wao Edward Lowassa.
Ni kamishina wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam, Kamanda Suleimani Kova akitoa tamko la...
10 years ago
GPLMNYIKA AFUNIKA MWANZA CHADEMA IKIZINDUA KANDA YA ZIWA VICTORIA
10 years ago
Vijimambo
Mpango wa Zitto kuondoka CHADEMA na wabunge 3 wagundulik

Taarifa zaidi zinasema pia kuna wabunge wachache wa...