KATIBU WA CHADEMA DMV, MAREKANI, ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA CHADEMA TANZANIA
Katibu wa tawi la CHADEMA DMV, Marekani, Ndugu Liberatus Mwang'ombe amefanya ziara ya kutembelea makao makuu ya CHADEMA jijini Dar Es Salaam.
Katika ziara hiyo Ndugu Liberatus Mwang'ombe aliweza kufanya mkutano na Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa na mratibu wa mambo ya wabunge wa CHADEMA, Ndugu John Mrema.
Ndg. Liberatus Mwang'ombe alipata fursa ya kujadiliana mambo mbalimbali na Katibu mkuu wa CHADEMA Taifa Dr Wilbroad Slaa hosusani changamoto zinazo wakabili Watanzania kwa ujumla na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAZIRI MUHONGO atembelea makao makuu ya kampuni ya General Electric ya Marekani
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_If037eCTxQ/VboLgrAIBlI/AAAAAAABS6E/ZLfwS2enuTE/s72-c/Lowassa1.jpg)
LOWASSA AWASILI MAKAO MAKUU YA CHADEMA NA KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-_If037eCTxQ/VboLgrAIBlI/AAAAAAABS6E/ZLfwS2enuTE/s640/Lowassa1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CHPfG6CPSTg/VboLlLW-jUI/AAAAAAABS6U/BcfiXG-4DZ0/s640/lowassa2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dk6P2ddB1rc/VboLhC2zKhI/AAAAAAABS6I/Ccp1ZW6O6F0/s640/11059601_385091355016802_8885760366441846382_n.jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
HAPA KAZI TU: Naibu Katibu Mkuu Mambo ya ndani ya Nchi atembelea makao makuu ya Idara ya uhamiaji Kurasini jijini Dar es Salaam!
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (kushoto), akisalimiana na Kamishna wa Uhamiaji (Utawala na Fedha), Piniel Mgonja , wakati wa ziara ya kikazi Makao Makuu ya Uhamiaji,Kurasini jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile.
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile (kushoto), akimuonesha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo, baadhi ya Ofisi za Idara ya Uhamiaji,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D1d2QWTP5sk/VBrIBBUlAHI/AAAAAAAGkQU/wCiGoioDz2M/s72-c/IMG_9743.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA,FREEMAN MBOWE AFIKA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI KWA MAHOJIANO LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-D1d2QWTP5sk/VBrIBBUlAHI/AAAAAAAGkQU/wCiGoioDz2M/s1600/IMG_9743.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bBI483X57FE/VBrFvS5T5YI/AAAAAAAGkO4/T7SK0Lu5RDI/s1600/DSCF9030.jpg)
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA IDARA YA UHAMIAJI KURASINI JIJINI DAR ES SALAAM — AWATAKA WATENDAJI KWENDA NA KASI MPYA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WhVxbUxL99o/Vbn9gOoC7XI/AAAAAAAHspA/AVwk9W_eWTY/s72-c/_MG_1504.jpg)
LOWASSA AWASILI MAKAO MAKUU YA CHADEMA KUCHUKUA FOMU YA KUWANIA URAIS NDANI YA CHAMA HICHO HIVI PUNDE JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-WhVxbUxL99o/Vbn9gOoC7XI/AAAAAAAHspA/AVwk9W_eWTY/s640/_MG_1504.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ou-kZyolRWs/Vbn9ezO31CI/AAAAAAAHsos/7_9hJctistg/s640/_MG_1408.jpg)
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI NA KUWAPONGEZA KWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU KWA AMANI NA UTULIVU
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NA KUWATAKA KUBUNI MIRADI MBALIMBALI YA KUONGEZA MAPATO NDANI YA JESHI HILO.