SNOW ILIYOANGUKA BAFFALO, NEW YORK, WATANO WAPOTEZA MAISHA
Theluji iliyoanguka siku ya Jumanne kuamkia Jumatano mji wa Baffalo jimbo la New York theluji iliyokanguka ilifikia futi 5 imesababisha vifo vya watu watano, wawili kati yao wamepoteza maisha kutokana na ajali za magari yao kuseleleka na wengine watatu wamekufa kutokana heart Attack. Pichani ni mkaazi wa Baffalo akijaribu kuparua theluji hiyo kabla haijaganda na kuwa barafu.
Mgari mengi yaliripotiwa kukwama kwenye mabarabara kutokana na theluji hiyo ilivyodondoka nyingi kwenye mwezi huu wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
KIONGOZI WA ZAMANI WA MUNGIKI ASHAMBULIWA, WATANO WAPOTEZA MAISHA
10 years ago
BBCSwahili09 Feb
Zaidi ya Watu 20 wapoteza maisha Misri
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
Zaidi ya Watu 60 wapoteza maisha Nigeria
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Mafuriko Dar: Watu 13 wapoteza maisha
11 years ago
GPL
42 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI PAKISTAN
11 years ago
Mwananchi04 Jan
27 wapoteza maisha ajali za treni 2013
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Ndege yaanguka, watu 11 wapoteza maisha
11 years ago
Uhuru Newspaper17 Sep
Wawili wapoteza maisha Ubena Senge
NA MWAMVUA MWINYI, KIBAHA
WATU wawili wamekufa na wengine 25 wamenusurika baada ya magari mawili kugongana uso kwa uso katika eneo la Ubena Senge, Bagamoyo, barabara kuu ya Morogoro.
Ajali hiyo ilitokea jana, saa 12.15 asubuhi, baada ya gari aina ya Toyota Coaster no.T 663 BKP, kugongana na gari la mafuta, aina ya Leyland lenye namba T858 CLK na tela T 421 CKY, mali ya kampuni ya Ramader . Gari hilo lilikuwa likitokea jijini Dar es Salaam kwenda Morogoro.
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani,...
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Takriban watu 20 wapoteza maisha India