Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


27 wapoteza maisha ajali za treni 2013

>Jumla ya watu 27 wamepoteza maisha yao na wengine 27 wamejeruhiwa katika matukio yanayohusisha  ajali za treni zilizotokea nchini mwaka jana.  Kamanda wa Kikosi cha Reli Tanzania, Saada Haji akizungumza na gazeti hili alisema kwamba jumla ya ajali 79 zinazohusisha treni zilitokea mwaka jana katika mikoa tofauti nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

wawili wapoteza maisha, saba wajeruhiwa na wanne hawajulikani walipo baada ya ajali ya treni ya mizigo gulwe, dodoma

Mnamo tarehe 27.03.2014 majira ya saa 02:10 usiku huko Gulwe katika Wilaya ya Mpwapwa kulitokea ajali ya treni ya mizigo iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kwenda Kigoma baada ya kusombwa na mkondo wa maji ya mvua zinazoendelea kunyesha. Kutokana na wingi na nguvu ya maji hayo ilifanya kichwa cha treni hiyo kutumbukia kwenye mto Mimo.
                VIFO: Ajali hiyo hadi hivi sasa imesababisha vifo vya watu wawili ambao wamefahamika kwa majina yafuatayo:- 1.  Felix s/o Kalonga 2.  Ismail @...

 

11 years ago

GPL

9 WAPOTEZA MAISHA BAADA YA TRENI KULIGONGA BASI UTURUKI

Taswira baada ya ajali kutokea. WATU tisa wamepoteza maisha wakati watano wakijeruhiwa baada ya treni la abiria kuligonga basi dogo nchini Uturuki. Mabaki ya basi yakiwa eneo la ajali. Basi hilo lililokuwa likiwapeleka wafanyakazi eneo la viwanda mjini Mersin, limegongwa wakati likivuka reli.
Waliopoteza maisha wote walikuwa ndani ya basi dogo ambapo watu watatu kati ya majeruhi wana hali mbaya. Katika treni hakuna...

 

11 years ago

GPL

42 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI PAKISTAN

Tela la trekta likiondolewa eneo la ajali. Ramani ikionyesha eneo ilipotekea ajali. WATU 42 wamepoteza maisha wakati 17 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria lililokuwa likielekea Karachi nchini Pakistan kugongana na trekta lililokuwa na tela. Miongoni mwa waliopoteza maisha ni watoto 14 na wanawake 13. Ajali hiyo imetokea leo katika mji wa Sukkur, umbali wa kilomita 425 kutoka Karachi. Dereva wa basi amefariki papo hapo wakati...

 

11 years ago

Mwananchi

Watu saba wapoteza maisha katika ajali

Watu saba wamefariki dunia papo hapo katika ajali ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia Januari 5 mwaka huu katika eneo la Mti mmoja, wilayani Monduli.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wawili wapoteza maisha na 52 wajeruhiwa ajali ya basi Singida

DSC00457

Askari wa usalama barabarani wilaya ya Ikungi, akikagua basi la kampuni ya KISBO, T.534 CHX baada ya kupinduka katika eneo la kijiji cha Kambi ya mkaa kata ya Issuna wilaya ya Ikungi na kusababisha vifo vya watu wawili na kujeruhi wengine 52.

Na Nathaniel Limu, Singida

ABIRIA wawili wamefariki dunia na wengine 52 kujeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupasuka tairi la mbele kulia na kuacha barabara na kisha kupinduka.

Basi lililohusika na ajali hiyo ni T.534 CHX aina ya...

 

11 years ago

Michuzi

17 wapoteza maisha na 56 wajeruhiwa katika ajali ya basi la morobest dodoma

TAKRIBANI watu 17 wamepoteza maisha  na wengine  56  kujeruhiwa baada ya basi la la Morobest lililokuwa linatoka Mpwapwa kwenda Dar es Salaam kugongana uso kwa uso na lori eneo la Pandambili, Kongwa mkoani Dodoma leo. Kwa mujibu wa taarifa ya kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, basi hilo lilikuwa likiendeshwa na dereva Said Lusogo liligongana na Lori namba T820CKU / T390CKT lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma likiendeshwa na dereva Gilbert Isata Nemaya. Amesema atika ajali hiyo...

 

11 years ago

Michuzi

askari wawili wapoteza maisha katika ajali chalinze leo


Na John Gagarini, Kibaha 
WATU wawili wamefariki dunia huku mmoja akijeruhiwa baada ya magari waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.  Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani, kamishna Msaidizi mwandamizi wa polisi (SACP) Ulrich Matei  (pichani) amesema kuwa ajali hiyo ilihusisha lori na gari dogo.  Kamanda Matei alisema kuwa ajali hiyo ilitokea Juni 16 mwaka huu majira saa 1:15 usiku eneo la Chamakweza kata ya Pera tarafa ya Chalinze wilayani...

 

10 years ago

Michuzi

watatu wapoteza maisha katika ajali ya basi mkoani mbeya leo

Watu watatu wamepoteza maisha leo baada ya basi la abiria  liitwalo Super Feo linalofanya safari zake toka Mbeya Songea baaya ya kupata ajali maeneo ya Inyara mkoani Mbeya likiwa na abiria 20. Habari zinasema dereva wa basi hilo lenye uwezo  wa kubeba abiria 53 kutaka kulipita gari lingine  bila ya uangalifu ambapo akakutana na roli mbele yake hivyo katika kujiokoa akakimblia kulia zaidi ndipo basi likapinduka mara tatu na kufikia kwenye kalvati.Waliotajwa kupoteza maisha ni Anastazia...

 

11 years ago

Dewji Blog

Askari wanne na raia 14 wapoteza maisha katika ajali ya gari Singida

Untitled

Baadhi ya miili ya wakazi wa kijiji cha Utaho wilaya ya Ikungi, waliogongwa na basi la Summry ikiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya mkoa wa Singida mjini humo.

DSC08054

Baadhi ya ndugu na jamaa wakiwa wanatafakari juu ya ndugu zao kugongwa na basi la summry la kufariki dunia usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha Utaho wilaya ya Ikungi.

DSC08077

Baadhi ya ndugu wakiwa nje ya chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya mkoa mjini Singida,wakisubiri kuchukua miili ya ndugu zao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani