MWINGEREZA ALIYESILIMU AUAWA AKIWA NA AL-SHABAAB KENYA
![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Rn5ueynVmjy*3DDYwA2EUyS-fNEvHICf5wGGg05-fnnycNi8mdMjA-A2EEJ1gT1spHcUD7SyTcZ30RZ4L0JTO9/Thompson.jpg?width=650)
Mpiganaji wa Al Shabaab, Thomas Evans aliyeuawa kwenye mapigano ya kundi hilo dhidi ya Jeshi la Kenya, anadaiwa kuwa raia wa Uingereza . Wapiganaji 11 wa Al Shabaab wakiwa wameuawa baada ya mapigano makali na Jeshi la Kenya huko Lamu.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Al Shabaab 1 raia wa UK auawa Kenya
10 years ago
StarTV16 Jun
Al Shabaab 1 raia wa Uingereza auawa Kenya
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/22/141022111140_al_shabaab_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Al Shabaab mmoja raia wa UK auawa Kenya
Utafiti wa DNA unatarajiwa kuthibitisha kuwa mmoja wa wapiganaji 11 wa Al shabaab waliouawa na wanajeshi wa Kenya hapo jana alikuwa ni raia wa Uingereza.
Duru za kijasusi za jeshi la Kenya zinasema kuwa mmoja kati ya watu wawili wazungu waliouawa anafahamika kama Thomas Evans, 25, ambaye ni raia wa Uingereza na anayetokea Buckinghamshire.
Bwana Evans, alisilimu na kubadili jina lake na kuitwa Abdul Hakim.
Familia yake imeiambia BBC kuwa inasubiri...
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mwingereza Jermaine Grant afungwa jela Kenya
11 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mbunge auawa na Al Shabaab Mogadishu
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Jasusi wa Al Shabaab auawa Somalia
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Kiongozi wa Al Shabaab auawa Somalia
11 years ago
CloudsFM25 Jul
KIKONGWE AUAWA KWA KUCHARANGWA MAPANGA AKIWA NA WAJUKUU ZAKE WAWILI
Matukio ya mauaji ya wanawake vikongwe kutokana na ugomvi wa mashamba yameendelea kujitokeza mkoani Shinyanga ambapo huko katika kitongoji na kijiji cha Magwata kata ya Mwamalili katika manispaa ya Shinyanga,mwanamke aitwaye Sayi Nyenje(75) ameuawa kwa kukatwa mapanga shingoni na kiganjani akiwa amelala na wajukuu zake.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari kutoka wa kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga SAP Justus Kamugisha tukio hilo limetokea Julai 23,mwaka huu saa 11 alfajiri.
...
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
Al shabaab 13 wameuawa Kenya
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
70 wahusishwa na Al Shabaab Kenya