Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JWTZ wadaiwa kutembeza kipigo, wajeruhi

Wakazi wawili wa eneo la Kiluvya Gogoni, Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam, Barnabas Swai (33), Pendo Mchaki (26) na Lugano Kalinga, wamejeruhiwa kutokana na kipigo cha watu wanaodaiwa kuwa ni askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, (JWT) na mmoja wao akilazwa katika Hospitali ya Mwananyamala.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii wajipange kuepuka aibu ya kutembeza bakuli

KUCHANGIANA ni  utaratibu unaofanyika katika kila jamii ya watu walioishi vema, hasa kwa mazingira ya Kitanzania, jambo ambalo limekuwepo tangu enzi. Kwamba, mtu akipata tatizo, uwe msiba au uzazi, ilikuwa...

 

10 years ago

GPL

MOTO WAJERUHI 500 NCHINI TAIWAN

Majeruhi katika ajali hiyo wakipatiwa huduma ya kwanza. WATU zaidi ya 500 wamejeruhiwa kufuatia kutokea mlipuko na moto kwenye bustani moja ya burudani nchini Taiwan mapema leo. Zaidi, ingia hapa:====>>http://wp.me/p6irf2-2cm Rais wa Taiwan, Ma Ying-jeou (katikati) akiongea na mmoja wa majeruhi aliyelazwa hospitalini baada…

 

11 years ago

Habarileo

Majambazi wavamia Wachina wanaojenga barabara, wajeruhi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariWATU wanane wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na silaha za jadi yakiwemo mapanga na marungu, wamevamia kambi ya Kampuni ya Wachina.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wajeruhi kwa bomu la machozi Dar

ASKARI wa Jeshi la Polisi katika Kituo cha Polisi Maturubai kilichopo Mbagala jijini Dar es Salaam, wanadaiwa kumjeruhi kwa bomu la kutupa kwa mkono Mwanaharusi Hamis mkazi wa Mbagala. Kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wajeruhi, wapora malori Masasi

Watu kadhaa wamejeruhiwa, mmoja yuko mahututi na amelazwa kwa matibabu katika Hospitali ya Ndanda wilayani Masasi baada ya watu wenye silaha kuteka malori matano toka katika kijiji cha Nangoo kilichopo barabara kuu ya Mtwara- Masasi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JWTZ yaonya

KUTOKANA na kuzidi kushamiri kwa matukio ya uhalifu nchini, huku wahusika wakionekana kutumia sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), jeshi hilo limeonya na kupiga marufuku wanaovaa sare za...

 

10 years ago

Mwananchi

Kipigo chaitesa Simba

Kipigo cha mabao 2-1 ilichokipata Simba juzi dhidi ya Mbeya City kwenye mchezo wa Ligi Kuu, kimeichanganya klabu hiyo na kuacha kila mmoja akisema lake.

 

10 years ago

GPL

MTITU ANUSURIKA KIPIGO

Stori: Na Waandishi wetu/Ijumaa Wikienda UPEPO ulichafuka! Katika hali ya taharuki, msanii ambaye pia ni msambazaji wa kazi za wasanii, William Mtitu amenusurika kipigo wakati wa kikao cha wasambazaji kujadili bei ya CD za kazi za wasanii. Kikao hicho kilifanyika wiki iliyopita katika Ukumbi wa Habari Maelezo, Posta jijini Dar kufuatia kampuni ya usambazaji ya Steps Entertainment kutangaza kuuza CD kwa shilingi 1,000 badala ya...

 

11 years ago

Mtanzania

Waziri anusurika kipigo

Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi

Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi

NA SAMWEL MWANGA, SIMIYU

NAIBU Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi, amenusurika kupata kipigo kutoka kwa wakulima wa pamba katika Kijiji cha Marekano, Wilaya ya Maswa, Mkoa wa Simiyu.

Zambi alinusurika kupata kipigo baada ya kushindwa kutoa majibu ya kuridhisha kwa wakulima juu ya mbegu za pamba zisizoota.

Tukio hilo lilitokea juzi kijijini hapo, wakati Zambi alipofanya ziara ya kushitukiza ili kuona jinsi ununuzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani