JWTZ wadaiwa kutembeza kipigo, wajeruhi
Wakazi wawili wa eneo la Kiluvya Gogoni, Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam, Barnabas Swai (33), Pendo Mchaki (26) na Lugano Kalinga, wamejeruhiwa kutokana na kipigo cha watu wanaodaiwa kuwa ni askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, (JWT) na mmoja wao akilazwa katika Hospitali ya Mwananyamala.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Wasanii wajipange kuepuka aibu ya kutembeza bakuli
KUCHANGIANA ni utaratibu unaofanyika katika kila jamii ya watu walioishi vema, hasa kwa mazingira ya Kitanzania, jambo ambalo limekuwepo tangu enzi. Kwamba, mtu akipata tatizo, uwe msiba au uzazi, ilikuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GmprysGsbRneycxSts75GefmoS4Flx7Xri10N6WljBitQPdByOlb94iBbj8kkNiliH5PzXSZawl2OtbuWYMK6-x87Db91O-E/8.jpg)
MOTO WAJERUHI 500 NCHINI TAIWAN
11 years ago
Habarileo27 Apr
Majambazi wavamia Wachina wanaojenga barabara, wajeruhi
WATU wanane wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na silaha za jadi yakiwemo mapanga na marungu, wamevamia kambi ya Kampuni ya Wachina.
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Polisi wajeruhi kwa bomu la machozi Dar
ASKARI wa Jeshi la Polisi katika Kituo cha Polisi Maturubai kilichopo Mbagala jijini Dar es Salaam, wanadaiwa kumjeruhi kwa bomu la kutupa kwa mkono Mwanaharusi Hamis mkazi wa Mbagala. Kwa...
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Watu wenye silaha wajeruhi, wapora malori Masasi
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
JWTZ yaonya
KUTOKANA na kuzidi kushamiri kwa matukio ya uhalifu nchini, huku wahusika wakionekana kutumia sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), jeshi hilo limeonya na kupiga marufuku wanaovaa sare za...
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Kipigo chaitesa Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1asLTm0wi-uO54rJ35O**1MJVzARI6H1HGg5162dlh-Za06aNIMAEKs8-RXe4OMf6Xef6F0hFd-aGSyICil-Qi2l901aAlbT/mtiti.jpg)
MTITU ANUSURIKA KIPIGO
11 years ago
Mtanzania12 Aug
Waziri anusurika kipigo
![Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Godfrey-Zambi.jpg)
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi
NA SAMWEL MWANGA, SIMIYU
NAIBU Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi, amenusurika kupata kipigo kutoka kwa wakulima wa pamba katika Kijiji cha Marekano, Wilaya ya Maswa, Mkoa wa Simiyu.
Zambi alinusurika kupata kipigo baada ya kushindwa kutoa majibu ya kuridhisha kwa wakulima juu ya mbegu za pamba zisizoota.
Tukio hilo lilitokea juzi kijijini hapo, wakati Zambi alipofanya ziara ya kushitukiza ili kuona jinsi ununuzi wa...