Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MOTO WAJERUHI 500 NCHINI TAIWAN

Majeruhi katika ajali hiyo wakipatiwa huduma ya kwanza. WATU zaidi ya 500 wamejeruhiwa kufuatia kutokea mlipuko na moto kwenye bustani moja ya burudani nchini Taiwan mapema leo. Zaidi, ingia hapa:====>>http://wp.me/p6irf2-2cm Rais wa Taiwan, Ma Ying-jeou (katikati) akiongea na mmoja wa majeruhi aliyelazwa hospitalini baada…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya 500 wajeruhiwa na moto Taiwan

Zaidi ya watu 500 wamejeruhiwa kufuatia kutokea kwa mlipuko na moto kwenye bustani moja nchini Taiwan

 

10 years ago

Habarileo

Vijiji 1,500 nchini kupatiwa umeme

AWAMU ya Pili ya mradi wa usambazaji wa umeme vijijini, unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) unatarajiwa kukamilika kwa mafanikio Juni mwaka huu, ikiwa ni pamoja na kuvipatia umeme vijiji 1,500.

 

5 years ago

Michuzi

DIAMOND PLATNUMZ KUCHANGIA KODI YA PANGO KWA KAYA 500 NCHINI

Msanii Nyota wa muziki wa kizazi kipya a.k.a BongoFleva Nasibu Abdul almaarufu Diamond Platnumz, amesema kuwa atachangia ‘kodi ya pango’ kwa kaya 500 nchini kwa ajili ya kupunguza makali ya kiuchumi wakati huu ambapo Watanzania wanapambana dhidi ya virusi vya Corona (Covid-19).
''Najua katika kipindi hiki cha Corona, mambo mengi hayajakaa sawa, hususani upande wa biashara, nyingi zimeshuka na kupelekea hali ya kifedha kuyumba na mambo kuwa kidogo magumu kwa wengi wetu... na mimi ni miongoni...

 

11 years ago

Mwananchi

JWTZ wadaiwa kutembeza kipigo, wajeruhi

Wakazi wawili wa eneo la Kiluvya Gogoni, Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam, Barnabas Swai (33), Pendo Mchaki (26) na Lugano Kalinga, wamejeruhiwa kutokana na kipigo cha watu wanaodaiwa kuwa ni askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, (JWT) na mmoja wao akilazwa katika Hospitali ya Mwananyamala.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wajeruhi kwa bomu la machozi Dar

ASKARI wa Jeshi la Polisi katika Kituo cha Polisi Maturubai kilichopo Mbagala jijini Dar es Salaam, wanadaiwa kumjeruhi kwa bomu la kutupa kwa mkono Mwanaharusi Hamis mkazi wa Mbagala. Kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Majambazi wavamia Wachina wanaojenga barabara, wajeruhi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariWATU wanane wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na silaha za jadi yakiwemo mapanga na marungu, wamevamia kambi ya Kampuni ya Wachina.

 

9 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wajeruhi, wapora malori Masasi

Watu kadhaa wamejeruhiwa, mmoja yuko mahututi na amelazwa kwa matibabu katika Hospitali ya Ndanda wilayani Masasi baada ya watu wenye silaha kuteka malori matano toka katika kijiji cha Nangoo kilichopo barabara kuu ya Mtwara- Masasi.

 

5 years ago

Michuzi

ALICHOKISEMA HAJI MANARA BAADA YA MSANII DIMAOND PLATNUMZ KUTANGAZA KUCHANGIA KODI KWA KAYA 500 NCHINI

Na Ripota Wetu,Michuzi TV
SIKU moja baada ya msanii marufu nchini Nassib Abdull a.k.a Diamond Platnumz kutangaza kuchangia Kodi ya pango kwa kaya 500 nchini ,Msemaji wa Klabu ya Simba Haji Manara ameamu kivunja ukimya huku akimtaka auoe ili wakakutane peponi.
Diamond kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii ametangaza kusaidia kuchangia kod kwa kaya hizo 500 na utaratibu kwa watakaochangiwa utatolewa kesho Jumatatu ya Aprili 27 mwaka huu.
Baada ya ujumbe huo ,Manara ameamua kumpongeza Diamond...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi waliteka bunge Taiwan

Mamia ya wanafunzi nchini Taiwan wamevamia na kuliteka bunge la nchi hiyo kupinga kile wanachosema ni mkataba wa kibiashara kati ya nchi hiyo na China.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani