Wanafunzi waliteka bunge Taiwan
Mamia ya wanafunzi nchini Taiwan wamevamia na kuliteka bunge la nchi hiyo kupinga kile wanachosema ni mkataba wa kibiashara kati ya nchi hiyo na China.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Mtikila, Makaidi, Kingunge ‘waliteka’ Bunge la Katiba
>Wajumbe watatu wa Bunge Maalumu la Katiba wamekuwa kivutio katika ndani na nje ya Bunge hilo linaloendelea mjini Dodoma.
11 years ago
Habarileo06 Aug
Wanafunzi wataka mwafaka Bunge Maalum
MTANDAO wa Wanafunzi Nchini (TSNP) umewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuondoa tofauti zao na kuridhiana kupata Katiba bora badala ya kuoneshana ubabe.
11 years ago
Michuzi05 Aug
Mtanzao wa Wanafunzi Nchini wawataka Wajumbe wa Bunge la Katiba kufikia Muafaka
MTANDAO wa wanafunzi nchini (TSNP) Umetoa tamko dhidi ya mwenendo wa mchakato wa kupata Katiba mpya ya Tanzania.
Mkurugenzi mtendaji wa mtandao wa wanafunzi Bwana Alphonce Lusako ametoa tamko hilo katika mkutano ulioudhuriwa na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Lusako ametoa ombi kwa vyama vyote vya siasa kurudi bungeni na kufanya maridhiano ili tuweze kupata katiba mpya ambayo itasaidia kuokoa mabilioni ya fedha za watanzania ambazo zimekwisha tumika katika mchakato wa kutafuta...
Mkurugenzi mtendaji wa mtandao wa wanafunzi Bwana Alphonce Lusako ametoa tamko hilo katika mkutano ulioudhuriwa na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Lusako ametoa ombi kwa vyama vyote vya siasa kurudi bungeni na kufanya maridhiano ili tuweze kupata katiba mpya ambayo itasaidia kuokoa mabilioni ya fedha za watanzania ambazo zimekwisha tumika katika mchakato wa kutafuta...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm6nMzF1bMs9MRppPLLjb5W30ugUXOkqCUYLeifB90bWm3dIrNU7JLXlNTKVt1UwenofRTRc9nX0lJmjxtVPnM7K/1.jpg)
11 years ago
BBCSwahili30 Mar
Biashara ya Taiwan na Uchina yapingwa
Makumi ya maelfu ya raia wa Taiwan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Taipei ili kupinga makubaliano ya kibiashara na Uchina.
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Ndege ya Taiwan yaangukia mtoni
Ndege inayoimilikiwa na Shirika la Ndege la Taiwan, la TransAsia imepata ajali na kuangukia kwenye mto katika mji mkuu, Taipei.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k7GMbnm2K6fm54*Z0jDqqlfeb-2RbeiKPIYxCm0u7tTXdBIO0usZKk3-dbV6UkXmAS4QNpKlnojDa7G-fD6j4B3/a.jpg)
AJALI YA NDEGE YAUA 51 TAIWAN
Taswira kutoka eneo la ajali. Vikosi vya uokoaji vikiwa eneo la tukio. TAKRIBANI watu 51 wamepoteza maisha huku saba wakijeruhiwa baada ya ndege waliyokuwemo kuanguka iliposhindwa kutua kwa dharura huko Taiwan, nchini China. Ndege hiyo ya Shirika la TransAsia iliyokuwa imebeba watu 58 imeanguka eneo la Kaohsiung,…
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Pikipiki ya kielektroniki kuuzwa Taiwan
Pikipiki ya kielektroniki ilio na betri zinazoweza kubadilishwa inatarajiwa kuuzwa nchini Taiwan kwa bei ya dola 4,140.
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
Zaidi ya 500 wajeruhiwa na moto Taiwan
Zaidi ya watu 500 wamejeruhiwa kufuatia kutokea kwa mlipuko na moto kwenye bustani moja nchini Taiwan
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania