Pikipiki ya kielektroniki kuuzwa Taiwan
Pikipiki ya kielektroniki ilio na betri zinazoweza kubadilishwa inatarajiwa kuuzwa nchini Taiwan kwa bei ya dola 4,140.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IulEvqGJ9iQ/VNfTUEYQqsI/AAAAAAAHCgU/Yg0K9pHFGXw/s72-c/download.jpg)
JE UMECHUKUA MKOPO NA NYUMBA YAKO INATAKA KUUZWA, HAIRUHUSIWI KUUZWA MPAKA UTARATIBU HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-IulEvqGJ9iQ/VNfTUEYQqsI/AAAAAAAHCgU/Yg0K9pHFGXw/s1600/download.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e5sA_VcXjHE/Ux9blGGkN9I/AAAAAAAFS-A/Rd2DwAlyix0/s72-c/unnamed+(54).jpg)
NMB YAWAKOMBOA VIJANA KIUCHUMI KWA KUWAPA MIKOPO NAFUU YA PIKIPIKI Ni mikopo kwa ajili ya pikipiki za miguu miwili na mitatu
Benki ya NMB kwa kushirikiana na kampuni tatu yaani Fair Deal Auto Private Ltd inayosambaza pikipiki za miguu miwili na mitatu aina ya Bajaji, kampuni ya Car & General Limited Ltd inayosambaza pikipiki za miguu mitatu aina ya TV’S King pamoja na kampuni ya Quality Motors inayosambaza pikipiki za miguu miwili aina ya Honda wameingia ubia ili kuwawezesha wananchi kupata mikopo nafuu ya kumiliki pikipiki za miguu miwili na mitatu.
Hii yote ni katika kuendeleza azma ya NMB inayolenga kubuni...
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Wanafunzi waliteka bunge Taiwan
Mamia ya wanafunzi nchini Taiwan wamevamia na kuliteka bunge la nchi hiyo kupinga kile wanachosema ni mkataba wa kibiashara kati ya nchi hiyo na China.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm6nMzF1bMs9MRppPLLjb5W30ugUXOkqCUYLeifB90bWm3dIrNU7JLXlNTKVt1UwenofRTRc9nX0lJmjxtVPnM7K/1.jpg)
11 years ago
BBCSwahili30 Mar
Biashara ya Taiwan na Uchina yapingwa
Makumi ya maelfu ya raia wa Taiwan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Taipei ili kupinga makubaliano ya kibiashara na Uchina.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k7GMbnm2K6fm54*Z0jDqqlfeb-2RbeiKPIYxCm0u7tTXdBIO0usZKk3-dbV6UkXmAS4QNpKlnojDa7G-fD6j4B3/a.jpg)
AJALI YA NDEGE YAUA 51 TAIWAN
Taswira kutoka eneo la ajali. Vikosi vya uokoaji vikiwa eneo la tukio. TAKRIBANI watu 51 wamepoteza maisha huku saba wakijeruhiwa baada ya ndege waliyokuwemo kuanguka iliposhindwa kutua kwa dharura huko Taiwan, nchini China. Ndege hiyo ya Shirika la TransAsia iliyokuwa imebeba watu 58 imeanguka eneo la Kaohsiung,…
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Ndege ya Taiwan yaangukia mtoni
Ndege inayoimilikiwa na Shirika la Ndege la Taiwan, la TransAsia imepata ajali na kuangukia kwenye mto katika mji mkuu, Taipei.
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Marais China ,Taiwan hawajawahi kukutana
Maofisa nchini Taiwan wanasema kwamba rais wa nchi yao anatarajia kukutana na rais wa China Xi Jin-ping ,Singapore siku ya jumamosi.
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
Zaidi ya 500 wajeruhiwa na moto Taiwan
Zaidi ya watu 500 wamejeruhiwa kufuatia kutokea kwa mlipuko na moto kwenye bustani moja nchini Taiwan
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania