Marais China ,Taiwan hawajawahi kukutana
Maofisa nchini Taiwan wanasema kwamba rais wa nchi yao anatarajia kukutana na rais wa China Xi Jin-ping ,Singapore siku ya jumamosi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM10 Apr
Diamond,Wema hawajawahi kukutana tangu kuachana
Mastaa wa Bongo ambao waliwahi kuwa wapenzi,Diamond na Wema Sepetu hawajawahi kukutana tangu walipoachana mwaka jana.
Diamond ametambulisha leo wimbo wake mpya mwenye asili ya mduara uutwao ‘’Nasema Nawe’’aliyomshirikisha Khadija...
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
Marais wa EAC kukutana Nairobi, Kenya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBvDDammIW*AVpuhSjFVYeGInhjCY1SHYFGMiJHqsAq3D7Z*gIxwSyabm98uadmyvypQS*NkutQWzuXEYwthU8Hc/MARAISAFRIKA.jpg?width=650)
MARAIS WA NCHI 6 ZA AFRIKA KUKUTANA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Habarileo28 Oct
JK afanya mageuzi ya mapokezi ya marais China
RAIS Jakaya Kikwete amesababisha mageuzi makubwa kwa namna Jamhuri ya Watu wa China inavyowapokea viongozi wageni kutoka nje ya nchi hiyo kwa kuwa kiongozi wa kwanza duniani kupokewa rasmi na pikipiki za polisi na kuongozwa na pikipiki hizo kwa muda wote wa ziara katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Usalama:Japan na China kukutana
10 years ago
BBCSwahili21 Mar
China, Japan na Korea kusini kukutana
9 years ago
Bongo510 Nov
Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita
![nyerere_karume_and_moyo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/nyerere_karume_and_moyo-300x194.jpg)
Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.
Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.
Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru