JK afanya mageuzi ya mapokezi ya marais China
RAIS Jakaya Kikwete amesababisha mageuzi makubwa kwa namna Jamhuri ya Watu wa China inavyowapokea viongozi wageni kutoka nje ya nchi hiyo kwa kuwa kiongozi wa kwanza duniani kupokewa rasmi na pikipiki za polisi na kuongozwa na pikipiki hizo kwa muda wote wa ziara katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Mapokezi ya JK China yana tija kwa nani?
OKTAOBA 28, 2014, kupitia gazeti la Uhuru, miongoni mwa habari zilizouza gazeti hilo kwa siku hiyo kwa maana ya kupamba ukurusa wa mbele ni habari isemayo “JK aweka historia China”...
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Marais China ,Taiwan hawajawahi kukutana
11 years ago
BBCSwahili05 Mar
Keqiang asema mageuzi ni sharti China
9 years ago
Bongo510 Nov
Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita
![nyerere_karume_and_moyo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/nyerere_karume_and_moyo-300x194.jpg)
Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.
Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.
Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...
11 years ago
Habarileo09 May
JK afanya uteuzi TRA, azungumza na Waziri Mkuu wa China
RAIS Jakaya Kikwete amemteua, Rished Bade kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
10 years ago
Vijimambo28 Jan
BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA AFANYA ZIARA MKOANI KAGERA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5kbpBQDE5KE/XkV2p6GUsqI/AAAAAAALdSk/RVYPFJHbSf872uACZ-7_vO_JayZTKvhaQCLcBGAsYHQ/s72-c/A-16-2048x1365.jpg)
Waziri Kabudi afanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) afanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Balozi Wang Ke. Mazungumzo yalilenga kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na China ambapo nchi hizi zinaelekea kuadhimisha mika 55 tangu kusainiwa mktaba wa urafiki
![](https://1.bp.blogspot.com/-5kbpBQDE5KE/XkV2p6GUsqI/AAAAAAALdSk/RVYPFJHbSf872uACZ-7_vO_JayZTKvhaQCLcBGAsYHQ/s640/A-16-2048x1365.jpg)
5 years ago
MichuziRais wa Zanzibar Dkt. Shein afanya mazungumzo na Balozi Mdogo wa China
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...