Mapokezi ya JK China yana tija kwa nani?
OKTAOBA 28, 2014, kupitia gazeti la Uhuru, miongoni mwa habari zilizouza gazeti hilo kwa siku hiyo kwa maana ya kupamba ukurusa wa mbele ni habari isemayo “JK aweka historia China”...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Oct
JK afanya mageuzi ya mapokezi ya marais China
RAIS Jakaya Kikwete amesababisha mageuzi makubwa kwa namna Jamhuri ya Watu wa China inavyowapokea viongozi wageni kutoka nje ya nchi hiyo kwa kuwa kiongozi wa kwanza duniani kupokewa rasmi na pikipiki za polisi na kuongozwa na pikipiki hizo kwa muda wote wa ziara katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Magoti kwa Manji yana maana gani?
GUMZO kubwa katika medani ya soka ndani ya wiki iliyopita ni hatua ya baadhi ya wanachama wa klabu ya Yanga, wakiongozwa na Bakili Makele, kumwomba Mwenyekiti wao, Yusuf Manji abatilishe...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Madai ya wanawake yana afya kwa katiba
MTANDAO wa Wanawake na Katiba unaojumuisha mashirika zaidi ya 50 yanayotetea haki za wanawake na binadamu, umeainisha madai 12 ya haki wanazotaka zitambulike katika katiba mpya. Masuala hayo ni haki...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Wahofu tija kwa wateule wapya
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Kamera za kuzuia uhalifu zitumike kwa tija
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Ugunduzi wa gesi uwe tija kwa wananchi
WAKATI nishati ya gesi ikiendelea kupanda bei, hali hiyo imeendelea kuwa chanzo cha uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kushindwa kumudu gharama za gesi ya kupikia. Baada ya gharama...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Jitihada zahitajika korosho kuleta tija kwa mkulima
“UZALISHAJI mkubwa wa korosho tunautegemea kutoka katika mkoa wetu wa Mtwara, hasa pale pembejeo zinapokuja kwa wakati kama hivi.” Hivyo ndivyo anavyoanza kuzungumza mkulima wa korosho katika Kijiji cha Maundo,...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Lengo ni kuwawezesha kufanya biashara zao kwa tija
9 years ago
Dewji Blog05 Sep
Mifumo ya biashara ya Jotoardhi ina tija kwa taifa
Naibu Kiongozi wa Timu ya Shirika linanoshughulikia masuala ya Jotoardhi Afrika Mashariki (EAGER) Bw. John Heath akiwaelimisha wadau mbalimbali wa Kampuni inashughulikia Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Wizara ya Nishati na Madin, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) pamoja na wadau wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusu Mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko la Jotoardhi. Warsha inayofanyika tarehe 2- 4 Septemba, 2015 jijini Dar es...