Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madai ya wanawake yana afya kwa katiba

MTANDAO wa Wanawake na Katiba unaojumuisha mashirika zaidi ya 50 yanayotetea haki za wanawake na binadamu, umeainisha madai 12 ya haki wanazotaka zitambulike katika katiba mpya. Masuala hayo ni haki...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mamlaka ya Bunge la Katiba yana mipaka

Kumeibuka hoja inayolenga uwezo wa Bunge la Mabadiliko ya Katiba kwa kuihusisha na Rasimu ya Katiba Mpya iliyowasilishwa kwenye bunge hilo na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

9 years ago

StarTV

Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure

Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure

Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.

Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...

 

11 years ago

Michuzi

TAMWA WATOA ELIMU KWA WABUNGE WANAWAKE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUZINGATIA MASUALA YA USAWA WA KIJINSIA WAKATI WA UTUNZI WA KATIBA MPYA.

Na Tiganya Vincent-Dodoma   Mwenyekiti wa Wabunge Wanawake wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Abdallah ametoa wito kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba kufanya kazi kwa ushirikiano katika kuhakikisha kuwa wanaweka maslahi ya mwanamke mbele katika uandishi wa Katiba mpya na sio vinginevyo.   Mwenyekiti huyo ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma wakati anafungua semina ya siku moja ya wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Viatu hatari kwa afya ya miguu ya wanawake

‘Mchuchumio’ ama viatu vyenye visigino virefu, ni mojawapo ya vitu vinavyopendwa na baadhi ya wanawake mbalimbali, si katika Tanzania bali dunia nzima.

 

10 years ago

Vijimambo

TAMKO LA WANAWAKE NA KATIBA KWA VIONGOZI WA SIASA

Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakifuatilia Semina iliyoandaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba kwaajili ya Wajumbe wa Bunge Maalum kuhusu masuala ya Jinsia na Katiba iliyofanyika Agosti, 2014 kwenye Ukumbi wa Bunge wa Pius Msekwa Mjini Dodoma.(Picha kutoka Maktaba)

 

9 years ago

Dewji Blog

Wanawake wajawazito Manyoni wanapoteza maisha kwa kufuata Huduma za Afya umbali wa zaidi ya KM 30 hadi 40

SAM_0161

Mmoja wa watoto waliofika katika ofisi za Kijiji cha Maweni kwa ajili ya kuhudhuria Kliniki tembezi kutoka katika Hospitali ya misheni ya Kilimatinde,wilayani Manyoni akipimwa uzito na wahudumu wa afya wa Hospitali hiyo.

SAM_0159

Watoto wakisalimiana wakati wakisubiri kupatiwa huduma za chanjo kutoka kwa wataalamu wa afya kutoka katika Hospitali ya misheni ya Kilimatinde,wilayani Manyoni.

SAM_0153

Jengo la zahanati inayojengwa kwa nguvu za wananchi ambayo itakapokamilika inatarajia kutumia zaidi ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mapokezi ya JK China yana tija kwa nani?

OKTAOBA 28, 2014, kupitia gazeti la Uhuru, miongoni mwa habari zilizouza gazeti hilo kwa siku hiyo kwa maana ya kupamba ukurusa wa mbele ni habari isemayo “JK aweka historia China”...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magoti kwa Manji yana maana gani?

GUMZO kubwa katika medani ya soka ndani ya wiki iliyopita ni hatua ya baadhi ya wanachama wa klabu ya Yanga, wakiongozwa na Bakili Makele, kumwomba Mwenyekiti wao, Yusuf Manji abatilishe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani