Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahofu tija kwa wateule wapya

Baadhi ya wadau wa sekta za kilimo, mifugo na mazingira wameeleza wasiwasi wao iwapo mawaziri wapya katika sekta hizo wataweza kumudu changamoto zilizopo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wajumbe wateule waendelea kupinga kufutwa kwa matokeo Uchaguzi  Zanzibar

Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Wateule Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF) wamesema hawapo tayari kurudia Uchaguzi Mkuu kwa madai ya kuwa uchaguzi uliofanyika Oktoba 25 siyo batili.

Huku wakiitaka Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kutengua tamko la kufutwa kwa matokeo ya Uchaguzi na badala yake kutangaza matokeo ya Majimbo yote yaliyofanyika uchaguzi huo.

Abubakari Khamis Bakari ametoa tamko hilo ambalo ni azimio la wawakilishi wateule 27 kupitia chama hicho Zanzibar na kusema kuwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Kamera za kuzuia uhalifu zitumike kwa tija

Juzi, Rais Jakaya Kikwete alisema Serikali inajipanga kuweka kamera maalumu za CCTV katika miji mikuu, kwa minajili ya kukabiliana na wimbi la uhalifu nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mapokezi ya JK China yana tija kwa nani?

OKTAOBA 28, 2014, kupitia gazeti la Uhuru, miongoni mwa habari zilizouza gazeti hilo kwa siku hiyo kwa maana ya kupamba ukurusa wa mbele ni habari isemayo “JK aweka historia China”...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ugunduzi wa gesi uwe tija kwa wananchi

WAKATI nishati ya gesi ikiendelea kupanda bei, hali hiyo imeendelea kuwa chanzo cha uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kushindwa kumudu gharama za gesi ya kupikia. Baada ya gharama...

 

10 years ago

Mwananchi

Lengo ni kuwawezesha kufanya biashara zao kwa tija

Halmashahuri ya Manispaa ya Morogoro, kwa kushirikiana na Chuo cha Ufundi Stadi (Veta), inakusudia kuanzisha mpango maalumu wa elimu kwa wajasiriamali wadogo wenye lengo la kuwawezesha kupata maarifa ya kuendesha biashara zao kwa tija.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mifumo ya biashara ya Jotoardhi ina tija kwa taifa

PIX 1

Naibu Kiongozi wa Timu ya Shirika linanoshughulikia masuala ya Jotoardhi Afrika Mashariki (EAGER) Bw. John Heath akiwaelimisha wadau mbalimbali wa Kampuni inashughulikia Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Wizara ya Nishati na Madin, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) pamoja na wadau wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusu Mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko la Jotoardhi. Warsha inayofanyika tarehe 2- 4 Septemba, 2015 jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jitihada zahitajika korosho kuleta tija kwa mkulima

“UZALISHAJI mkubwa wa korosho tunautegemea kutoka katika mkoa wetu wa Mtwara, hasa pale pembejeo zinapokuja kwa wakati kama hivi.” Hivyo ndivyo anavyoanza kuzungumza mkulima wa korosho katika Kijiji cha Maundo,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji wahofu Katiba kutowatambua

KUNDI la wafugaji nchini wameeleza hofu ya maisha yao kutokana na rasimu ya pili ya Katiba kutokuwa na vipengele vinavyotambua uhalali wao wa kuishi na shughuli wanazofanya. Akizungumza na Tanzania...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kigoma wahofu homa ya ebola

HOFU ya kuenea kwa kasi ugonjwa hatari wa ebola imeendelea hasa mkoani Kigoma ambao uko mpakani baada ya taarifa kuwa umeishaingia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ambayo inapakana. Akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani