AJALI YA NDEGE YAUA 51 TAIWAN
![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k7GMbnm2K6fm54*Z0jDqqlfeb-2RbeiKPIYxCm0u7tTXdBIO0usZKk3-dbV6UkXmAS4QNpKlnojDa7G-fD6j4B3/a.jpg)
Taswira kutoka eneo la ajali. Vikosi vya uokoaji vikiwa eneo la tukio. TAKRIBANI watu 51 wamepoteza maisha huku saba wakijeruhiwa baada ya ndege waliyokuwemo kuanguka iliposhindwa kutua kwa dharura huko Taiwan, nchini China. Ndege hiyo ya Shirika la TransAsia iliyokuwa imebeba watu 58 imeanguka eneo la Kaohsiung,…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8bD62HksPjeUsRCYdxY7TRQE5jlBKFfBt7Qbk6m7EbRbVXvZDtnxnLS2T9KWdqpiMFaqSb3Sb4q*7ECMfAV9jriFoFXfYAs/ndege.jpg?width=650)
AJALI YA NDEGE YAUA 48 IRAN
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Ajali nyingine ya Ndege yaua zaidi ya 40
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632pnnG5KndWVKoAk38PoFsO1p4a-ZZOKTQoP8Zq-3gtJG8rJhm35EIzundI6meoWVPa*aa*yY3TMKDYbVazLQqX4/NDEGE.jpg)
AJALI YA NDEGE YA MIZIGO YAUA WANNE KENYA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm6nMzF1bMs9MRppPLLjb5W30ugUXOkqCUYLeifB90bWm3dIrNU7JLXlNTKVt1UwenofRTRc9nX0lJmjxtVPnM7K/1.jpg)
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Ndege ya Taiwan yaangukia mtoni
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzPT0LtzubKPkBxvo8cEc7aYdtHN3*oeLrVpnaJyT9FH89nTAaewESv-vdV*3WggyQj4pvpLv8KyDLY9FEJvDoL7/1.jpg)
NDEGE YA TAIWAN YAANGUKIA MTONI NA KUUA WATU 12
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Ajali yaua 19
![Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/ajali-dodoma.jpg)
Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma
Debora Sanja, Dodoma na Fadhili Athumani, Mwanga
WATU 19 wamepoteza maisha na wengine 64 wamejeruhiwa katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Dodoma na Kilimanjaro.
Habari kutoka mkoani Dodoma zinasema watu 17 wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori.
Ajali hiyo ilitokea jana saa 2 asubuhi, katika eneo la Pandambili, lililoko Barabara ya Dodoma-Morogoro.
Akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
Habarileo16 Jun
Ajali yaua 23
WATU 23 wamekufa katika ajali iliyohusisha basi na lori mjini Mafinga, Iringa huku wengine 34 hali zao zikiwa mbaya.