AJALI YA NDEGE YAUA 48 IRAN
![](http://api.ning.com:80/files/Y8bD62HksPjeUsRCYdxY7TRQE5jlBKFfBt7Qbk6m7EbRbVXvZDtnxnLS2T9KWdqpiMFaqSb3Sb4q*7ECMfAV9jriFoFXfYAs/ndege.jpg?width=650)
Ndege ya Iran iliyoanguka na kuua watu 48 leo asubuhi. WATU 48 wamefariki dunia baada ya ndege ndogo ya abiria waliyokuwemo kuanguka katika makazi ya watu jirani na Uwanja wa Ndege wa Mehrabad uliopo magharibi mwa mji wa Tehran nchini Iran leo asubuhi. Ndege hiyo mali ya kampuni ya Taban Air ilikuwa inaelekea katika Jiji la Tabas.
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k7GMbnm2K6fm54*Z0jDqqlfeb-2RbeiKPIYxCm0u7tTXdBIO0usZKk3-dbV6UkXmAS4QNpKlnojDa7G-fD6j4B3/a.jpg)
AJALI YA NDEGE YAUA 51 TAIWAN
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Ajali nyingine ya Ndege yaua zaidi ya 40
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632pnnG5KndWVKoAk38PoFsO1p4a-ZZOKTQoP8Zq-3gtJG8rJhm35EIzundI6meoWVPa*aa*yY3TMKDYbVazLQqX4/NDEGE.jpg)
AJALI YA NDEGE YA MIZIGO YAUA WANNE KENYA
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
Ndege yaanguka na kuwaua abiria 40 Iran
11 years ago
Bongo511 Aug
Ndege nyingine yaanguka na kuuwa watu 40 Iran
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Ajali yaua 21
WATU 21 wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Mkupuka, Kibiti, wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani. Watu...
10 years ago
Habarileo16 Jun
Ajali yaua 23
WATU 23 wamekufa katika ajali iliyohusisha basi na lori mjini Mafinga, Iringa huku wengine 34 hali zao zikiwa mbaya.
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Ajali yaua 19
![Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/ajali-dodoma.jpg)
Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma
Debora Sanja, Dodoma na Fadhili Athumani, Mwanga
WATU 19 wamepoteza maisha na wengine 64 wamejeruhiwa katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Dodoma na Kilimanjaro.
Habari kutoka mkoani Dodoma zinasema watu 17 wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori.
Ajali hiyo ilitokea jana saa 2 asubuhi, katika eneo la Pandambili, lililoko Barabara ya Dodoma-Morogoro.
Akizungumza na waandishi wa habari...