Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AJALI YA NDEGE YAUA 48 IRAN

Ndege ya Iran iliyoanguka na kuua watu 48 leo asubuhi. WATU 48 wamefariki dunia baada ya ndege ndogo ya abiria waliyokuwemo kuanguka katika makazi ya watu jirani na Uwanja wa Ndege wa Mehrabad uliopo magharibi mwa mji wa Tehran nchini Iran leo asubuhi. Ndege hiyo mali ya kampuni ya Taban Air ilikuwa inaelekea katika Jiji la Tabas.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AJALI YA NDEGE YAUA 51 TAIWAN

Taswira kutoka eneo la ajali. Vikosi vya uokoaji vikiwa eneo la tukio. TAKRIBANI watu 51 wamepoteza maisha huku saba wakijeruhiwa baada ya ndege waliyokuwemo kuanguka iliposhindwa kutua kwa dharura huko Taiwan, nchini China. Ndege hiyo ya Shirika la TransAsia iliyokuwa imebeba watu 58 imeanguka eneo la Kaohsiung,…

 

11 years ago

BBCSwahili

Ajali nyingine ya Ndege yaua zaidi ya 40

Ndege ya TransAsia ya Taiwan imedondokawakati ikitua na kuua zaidi ya 40.

 

11 years ago

GPL

AJALI YA NDEGE YA MIZIGO YAUA WANNE KENYA

Ndege ya mizigo baada ya kuanguka. WATU wanne akiwemo rubani wa ndege wamefariki dunia baada ya ndege waliyokuwemo kuanguka leo alfajiri katika eneo la Utawala-Embakasi jijini Nairobi, Kenya. Ndege hiyo ya mizigo iliyokuwa inaelekea Mogadishu nchini Somalia imeanguka muda mfupi baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta uliopo Nairobi. Kwa mjibu wa Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya, mwili wa mtu...

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege yaanguka na kuwaua abiria 40 Iran

Ndege moja iliokuwa na abiria 40 imeanguka mjini Tehran nchini Iran.

 

11 years ago

Bongo5

Ndege nyingine yaanguka na kuuwa watu 40 Iran

Ndege inayomilikiwa na kampuni ya Taban Air imeripotiwa kuanguka katika makaazi ya watu Jumapili (Agosti 10) baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Mehrabad Maghribi mwa mji wa Tehran. TV ya taifa ya Iran imesema watu wote 40 wamepoteza maisha katika ajali hiyo na uchunguzi umeanza kufanywa ili kubaini chanzo. Ndege hiyo iliyojulikana kwa […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali yaua 21

WATU 21 wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Mkupuka, Kibiti, wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani. Watu...

 

10 years ago

Habarileo

Ajali yaua 23

Mkuu wa wilaya ya Mufindi, Mboni Mhita akiwatembelea majeruhi hospitali ya Wilaya mjini Mafinga (Picha na Frank Leonard).WATU 23 wamekufa katika ajali iliyohusisha basi na lori mjini Mafinga, Iringa huku wengine 34 hali zao zikiwa mbaya.

 

11 years ago

Mtanzania

Ajali yaua 19

Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma

Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma

Debora Sanja, Dodoma na Fadhili Athumani, Mwanga

WATU 19 wamepoteza maisha na wengine 64 wamejeruhiwa katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Dodoma na Kilimanjaro.

Habari kutoka mkoani Dodoma zinasema watu 17 wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori.

Ajali hiyo ilitokea jana saa 2 asubuhi, katika eneo la Pandambili, lililoko Barabara ya Dodoma-Morogoro.

Akizungumza na waandishi wa habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani